Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,419
Nani atalipia training. Sidhani kama ni kuingiza kidole tu. Ni lazima uwe trained. Ingekuwa hivyo si watu wangehamasishwa hata wakajipima wenyewe? Isitoshe kuna mambo (enema?) inabidi ufanye kabla hujaenda kupimwaIngependeza kila mtu mwenye mke, ampe ruhusa mkewe awe ana mfanyia uchunguzi......







