Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Ha ha ha bahati yenu.
Mngezitapika
Tena tukiona maneno yamezidi, tunaitumia kuchukua uraia wa eSwatin kabisa na tunadhamini na ile sherehe ya King Mswati kabisa.
Ha ha ha bahati yenu.
Mngezitapika
Nimekumbuka ubabe wa primary kuna jamaa tulikua tunamuweka mtu kati..akileta mikwara vifinyo havimuachi salama
Naumwa dokta kaniambia ile avatar ndo dawa, hebu fanya kuirudisha tafadhali, angalau kwa sekunde 10 tu.01:25
Jana ...Leo..na kesho

Naumwa dokta kaniambia ile avatar ndo dawa, hebu fanya kuirudisha tafadhali, angalau kwa sekunde 10 tu.![]()


Kwakweli hakuna mbadala na hautokaa utokee, fanya jitihada basi angalau nafsi yangu iponywe bibie
Ugua pole mgonjwa ..hivi hakunaga mbadala wa dawa?

Utapona tu kamanda. Hata mi niliumwa sana ila sasa naona kuna kaunafuu. Huyu Yna2 huyu katili sana na hana huruma hata kidogoNaumwa dokta kaniambia ile avatar ndo dawa, hebu fanya kuirudisha tafadhali, angalau kwa sekunde 10 tu.![]()


Nimekumbuka ubabe wa primary kuna jamaa tulikua tunamuweka mtu kati..akileta mikwara vifinyo havimuachi salama

Kwakweli hakuna mbadala na hautokaa utokee, fanya jitihada basi angalau nafsi yangu iponywe bibie![]()


Utapona tu kamanda. Hata mi niliumwa sana ila sasa naona kuna kaunafuu. Huyu Yna2 huyu katili sana na hana huruma hata kidogoView attachment 938887


Kwanini lakini?
Poa tu
![]()
![]()
![]()
Natamani mimi ndio ningekua huyo jamaa![]()


Utapona tu kamanda. Hata mi niliumwa sana ila sasa naona kuna kaunafuu. Huyu Yna2 huyu katili sana na hana huruma hata kidogoView attachment 938887
Rudisha avatar yetu. Mpaka nimekonda walahi. Yaani kweli umetoa hii na kutuwekea lips. Siyo fea kabisa yaani
Mnanionea mjue. Ila sawa tu



Bila samahani....endelea kuutelezesha...![]()
![]()
![]()
Samahani shem, mkono uliteleza kidogo.
Vipi uzima upo?
Hakika tumewamis hapa.
Rudisha avatar yetu. Mpaka nimekonda walahi. Yaani kweli umetoa hii na kutuwekea lips. Siyo fea kabisa yaani![]()


Asante mkuu.![]()
![]()
![]()
Ewaaah, naona sasa hata kupumua kunaenda sawa.
Ubarikiwe sana mkuu.
Ngoja nitoke kidogo angalau robo saa nikaihifadhi hii picha kwenye kibubu.