JamiiForums Usiku wa manane
Naumwa dokta kaniambia ile avatar ndo dawa, hebu fanya kuirudisha tafadhali, angalau kwa sekunde 10 tu.
Utapona tu kamanda. Hata mi niliumwa sana ila sasa naona kuna kaunafuu. Huyu Yna2 huyu katili sana na hana huruma hata kidogo
20181013_100148.jpeg
 
Utapona tu kamanda. Hata mi niliumwa sana ila sasa naona kuna kaunafuu. Huyu Yna2 huyu katili sana na hana huruma hata kidogo View attachment 938887

Ewaaah, naona sasa hata kupumua kunaenda sawa.
Ubarikiwe sana mkuu.
Ngoja nitoke kidogo angalau robo saa nikaihifadhi hii picha kwenye kibubu.
 

Ewaaah, naona sasa hata kupumua kunaenda sawa.
Ubarikiwe sana mkuu.
Ngoja nitoke kidogo angalau robo saa nikaihifadhi hii picha kwenye kibubu.
Asante mkuu.

Mimi nilihifadhi 6 chapchap na zote ziko mahali tofauti tofauti. Flash drive hii ikifa nahamia nyingine. Naona nitaifremu mojawapo iwe kwenye sebule yangu kabisa. Huyu yna2 we acha tu...
 
Back
Top Bottom