JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Naumwa dokta kaniambia ile avatar ndo dawa, hebu fanya kuirudisha tafadhali, angalau kwa sekunde 10 tu.[emoji39]
Utapona tu kamanda. Hata mi niliumwa sana ila sasa naona kuna kaunafuu. Huyu Yna2 huyu katili sana na hana huruma hata kidogo [emoji16][emoji16][emoji16]
20181013_100148.jpeg
 
Utapona tu kamanda. Hata mi niliumwa sana ila sasa naona kuna kaunafuu. Huyu Yna2 huyu katili sana na hana huruma hata kidogo [emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 938887
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ewaaah, naona sasa hata kupumua kunaenda sawa.
Ubarikiwe sana mkuu.
Ngoja nitoke kidogo angalau robo saa nikaihifadhi hii picha kwenye kibubu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ewaaah, naona sasa hata kupumua kunaenda sawa.
Ubarikiwe sana mkuu.
Ngoja nitoke kidogo angalau robo saa nikaihifadhi hii picha kwenye kibubu.
Asante mkuu.

Mimi nilihifadhi 6 chapchap na zote ziko mahali tofauti tofauti. Flash drive hii ikifa nahamia nyingine. Naona nitaifremu mojawapo iwe kwenye sebule yangu kabisa. Huyu yna2 we acha tu...
 
Back
Top Bottom