Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,415
Ungesema tukakuchangia chapu chapu. We ni wa kuishiwa kifurushi jamani?
Mwambie anitumie namba nianze maramoja kumwezesha.Ungesema tukakuchangia chapu chapu. We ni wa kuishiwa kifurushi jamani?



PowaKabisa, naishiwa zile unlimited...teh teh
nitaleta kapu mnichangie cha Dec-Jan.....



Keshakusikia mkuu...Mwambie anitumie namba nianze maramoja kumwezesha.
Ndugu ni wa kufaana wala sio wa kufanana.
Sijasoma za Mzungu aisee...Mimi ni mmoja wa wale wabeba vidumu vya maji..fagio mkononi ..umande ukizidi sana safari ya shule yaishia njiani

Mungu mwema, ni matumaini yangu honeymoon ishaisha, urudi kilingeni![]()
Hakuna cha honeymoon wala honeysun.....niliishiwa kifurushi.
Kama kifua kinakusumbua, mpaka miezi mitatu ijayo kuna guarantee gani kuwa utakuwa bado hai? Nenda kwenye zahanati ya karibu. Huyu unafanya appointment wakati huumwi mf. ishu kama za tezi dume, annual physical na mengineyo.![]()
![]()
Mkuu tokea juzi kifua kinanisumbua sana, unaweza kunipatia namba zake?
Mwambie anitumie namba nianze maramoja kumwezesha.
Ndugu ni wa kufaana wala sio wa kufanana.



@Thad anasemaga kizuri kula na nduguyo, kibaya pambana nacho mwenyewe.Nitakutafuta tu...shukrani
mf. ishu kama za tezi dume