Emmanuel_Adam14
JF-Expert Member
- Dec 25, 2015
- 670
- 745
Hili la kusoma maoni!!Hahahaha, lipi hilo mkuu
Hili la kusoma maoni!!Hahahaha, lipi hilo mkuu
Hahahaha, hapo sawa MkuuHili la kusoma maoni!!
wengina tuna malizia kazi na matakwa ya ofis03:32, leo kimya kimya, wengine wanahofia kuchelewa kazini asubuhi ya jumatatu
tena saa kumi kasoro saiziHahahaha,kumbe ni SAA Tisa .SAA yangu inaniambia 02:33
kazi kazo mkuu, mi naangalia uwezekano wa kulala kabla ya 04:30 ili asubuhi ianze vyemawengina tuna malizia kazi na matakwa ya ofis
😁😁 Ni mpya au ya zamani!!Chura iko hapa mtaani!

kazi kazo mkuu, mi naangalia uwezekano wa kulala kabla ya 04:30 ili asubuhi ianze vyema
Ngoja ujisahau upitiwe na usingizi uje hushtuke saa 2 ukaifukuzie na boda boda!Kesho nakwea pipa jamani,
nkilala naona kama ndege itaniacha hv![]()
Haroo umejibu kama ri-raiyon kabisa!Haroo mimi ni jiwe hapa kinachonikosesha usingizi ni Membe
01:16 ,pekee yangu lindoni
asante mkuu.sawa mkuu mungu akubaliki
Mme lala/lwa?
hahahaDating a church girl is the best….I cheat, she finds out, we pray together and blame the devil..