Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,244
- 55,834
Hilo swali huwa najiuliza..inabidi kamati iundwe ya kumtafuta alipo;au amepotea.....Huyu jamaa No Escape ntamfungulia mashtaka. Iweje kafungua usiku kisha atokomee? Haonekani kaacha watu wanapokezana lindo tu.