JamiiForums Usiku wa manane
ukarimu kama haki vile ilivyo inavutia balaa na kila mtu anapenda kutendewa haki.

Usiogope bibie,wewe ingia tu.... Mengine ndani ndio mahala pake ukiyapeleka nje utaonekana kameme.

Si unajua si kilia kilicho pinda kina dosari,vingine kupinda kwake ndio ukamilifu wake.

Nasema hivi karibu bbade pitiliza mpaka ndani ukirimiwe na ...................


Nimependa hili shairi
 
Hapo mwisho uko sawa,
Kuna mahali unachanganya kidogo,
Hiyo ni transporter 1, anasafirisha begi lenye binti ndani. Tairi inapata pancha, kwenye kubadili anagundua kabeba binti, movie inaanzia hapo.....

Kubeba binti ni part 1, na ndo siri alijikuta anaijua bila kutakiwa kuijua, ndo iliyopelekea kwenye part 2 atumwe Bomu.

Na hakumfikisha binti mwenyewe nakumbuka.
 
Back
Top Bottom