Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,111
Umekata ngapi hapo?
Najua upo unalipa kodi.
Najua upo unalipa kodi.
Nakuona unachapa kazi kizalendo kabisa
Nakuona unachapa kazi kizalendo kabisa
Ulikusudia "Kuna....." bila shaka.
Narudi .....
Namwonaga Majogoo
Kuna sehemu kuja ujumbe wako
Wapo mpenzi?
BTW, with all due respect, naomba confirmation yako if it is for real.
Kabla sijatoa pongezi halafu kumbe ni hewa!
Loooh.. sikuona hata kama nimekosea. Yes nilikusudia "kuna"
Kodi ya kichwa usbafutwa toka enzi sijui za nani huko...Umekata ngapi hapo?
Najua upo unalipa kodi.
Confirmation juu ya nini?
Hahaha, unajua maneno yanayokuja huwa ni yale ambayo unayatumia frequently.
Acha nitafute KAMUSI kwanza
Nadhani chit chat mama..
Loooh.. sikuona hata kama nimekosea. Yes nilikusudia "kuna"
Hahahahaaa.. bora halikuja tusi
Kwenye j ikawa m
Asante sana,japokuwa hujanipa shukurani...
Nimetenda wema na hapa naenda zangu ...
Kiswahili kina nidai,acha nikihudumie.... Najaribu tu. Haina haja ya kutafuta kamusi.
Haya mazungumzo tu,na kama hujaelewa rejea SHERIA NAMBA MOJA...
Bado nasoma ....