Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,111
Kigoda jikoni kwa bibi kulee
Nimezoea kwenye kigoda
Nimezoea kwenye kigoda
Siogopi kuingia, naogopa kupitiliza nikishaingia
We mtoto kuna uzi wako tuko nao MMU, twende kule kwanza.
Yatir maji kidogo yalainikeMacho yangu makavuuuh...sijui nimeona nini leo!!!.
@Nleterewa Nganengo una kesi ya kujibu huku ukitoka tu ndotoni tunakudaka hapa haiwezekani umfunze mtoto wa watu tabia mbaya.
Jina lake lilinisimbua sana mpaka kuja kulimudu![]()
Kigoda jikoni kwa bibi kulee
Yatir maji kidogo yalainike
Wala usiogope kupitiliza maadamu kuna watu ndani au mtu,basi tegemea kukirimiwa tu.
Haya ingia kisha upitilize ndani .....
Mnanitia mshawasha wa umbea mwenzenu, naombeni huo ubuyu wajameni
Huo ndo ubaya wa kuwatumikia wabaya, kosa dogo tu linakumaliza. Ngoja kesho nizitafute nizipitie upya.Yeye kuna kosa alilifanya ambalo ni la kuvunja sheria zake hizohizo, wakajikuta anajua siri ambayo hakutakiwa kuijua.
Kwa hiyo alitakiwa kuwa eliminated, ni siku nyingi kidogo sijaiona, almost 11 years, so baadhi ya details sizikumbuki vyema.
Namjua ndio maana nikakwambi yupo humu njoo utete nayeUnasema uongo,nimekuja mbona simuoni ? Unajidai humjui sio ?
Don nisaidie kutafsiri maana nimeshindwa kuelewa....nikishaamka naweza kuuelewa.
Nakuamini mama
Yeye kuna kosa alilifanya ambalo ni la kuvunja sheria zake hizohizo, wakajikuta anajua siri ambayo hakutakiwa kuijua.
Kwa hiyo alitakiwa kuwa eliminated, ni siku nyingi kidogo sijaiona, almost 11 years, so baadhi ya details sizikumbuki vyema.
Huo ndo ubaya wa kuwatumikia wabaya, kosa dogo tu linakumaliza. Ngoja kesho nizitafute nizipitie upya.
Umesema pt1na 2 ndio kali eeeh?
Njoo tu huku nje...ndani nimeshaanza kukuogopa...huo ukarimu sijazoea
Ina maana mpk sahv hujauona?? Zunguka chitchat yote utanletea majibu