JamiiForums Usiku wa manane
Kuna yule mwenye jina refuuuu...hata siwezi kulitamka..akasema nifuatane naye...ndio akanifundisha....
@Nleterewa Nganengo una kesi ya kujibu huku ukitoka tu ndotoni tunakudaka hapa haiwezekani umfunze mtoto wa watu tabia mbaya.

Jina lake lilinisimbua sana mpaka kuja kulimudu
 
Ndio maana waswahili hawatakagi hayo mambo ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia

Yeye kuna kosa alilifanya ambalo ni la kuvunja sheria zake hizohizo, wakajikuta anajua siri ambayo hakutakiwa kuijua.

Kwa hiyo alitakiwa kuwa eliminated, ni siku nyingi kidogo sijaiona, almost 11 years, so baadhi ya details sizikumbuki vyema.
 
Back
Top Bottom