Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,934
Miss you dear!
Hapana. Nayajua maumivu ya mapenzi. Heri mtu aniache mimi. Nikipenda huwa napenda kweli na mwanamke anafurahi. Sipendi kuumiza mtu.Hahahahaaaaa kweli? Usijeniumiza moyo kama mwafulani!![]()
Kivipi tena!?
Lazima akuje kuleta na hivi karudi kutoka Muscat...

Miezi kadhaa hii kitu ulikuwa unatumiaAhsante,. Naitwa mama "N" sikuhizi ambi![]()
Handsome wa kigogo leo sijui yuko wapii
Huyu hata mimi sijamuelewa. Mnafahamiana naye babe?Kivipi tena!?
Niko hapa NungwiUko baharini sehemu gani. Au wewe ni samaki?
Sent using my NOKIA torch
Dawa gan unazozijua msaidie kutokana na unacho kijuaSijui hizo Dawa za kijijini mbona
Mzima?
@Astelia bado hajaamkaAtakayemwona Astelia wangu mwambie namuhitaji
Kipenzi. Huko Nungwi wafanya nini Kaskazini Unguja? Hebu njoo huku bibieNiko hapa Nungwi
Ngoja nirudi nyuma nihakikiUmechanganya, nimelike tu.
Yeuuwwwiii hivi unajua huna akili ww

mate yashaa mdomoni jomonii..wTF 

mfyuuuu naona unataka kunikausha uzazi SAA hii usiku huu natoa wapi mm embe mbichi bichwa lako lione vile ndio maana ambiele kivielee ww
...em mie


HahahahahaHivi leo nani aliacha geti wazi mpaka mamluki wakatuingilia?