AiseeeBahari ya Hindi
Sent using NOKIA torch with My Camera
mimi mbona niko bahari ya Hindi ila sina network?Honey,..sio kukumiss huku mm,.lol yaanii nimekuhaamm balaa khaaa...nakupenda maserati unajua hiliWizoooooooooooo



Ah ah ah ah ahHizi kesi za kununua sipendiii
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Uko baharini sehemu gani. Au wewe ni samaki?Aiseeemimi mbona niko bahari ya Hindi ila sina network?
Kuhusu hilo mulize mama yetu bbade
Au Astelia maana wamekaa sana kijiji watakuwa wanajua matumiz ya tangawiz ya unga
Ila kwa ushaur wangu chemsha chai weka iyo tangawiz ya unga nying tuu zen iyo chai ndio uinywe
Sent using Jamii Forums mobile app





Hivi kumbe sikukujibu....nakupenda pia



niweze wapi kichura chura na utu uzima huu wizoo...nyonga zimeshakaza na hivi nimedondosha pacha wooiiiiiKaka,nilikuwa nakimbizana na maisha bana.i missed you too sis, ulitukimbia!
aisee, mvuvi ananiharibia jmnHivi kumbe sikukujibu....nakupenda pia
Ndio maana leo mmetuvunjia sheria eeeh?Kinachonishangaza ni jinsi watu wanavyoheshimu muda, yaani mchana hii thread haionekani.
Ulisema tu Asante. Nikawaza ina maana huyu haelewi somo?Hivi kumbe sikukujibu....nakupenda pia
Tunaenda na mada husika. Mida ya popo utaona hii post inavyotrendKinachonishangaza ni jinsi watu wanavyoheshimu muda, yaani mchana hii thread haionekani.
Ndio maana leo mmetuvunjia sheria eeeh?
Karibu ndugu yetunlikua na stiresi.... nimeenda maeneo nimekata vitu tangu sa 11 nkijua nikirudi napata usingizi lakini wapi.... ndo meamua kujipooza na jf.