Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,831
huku nilipo salama kabisa chief
huku nilipo salama kabisa chief
Karibu!! Leo inabid ufunge get wwNipo,majukumu yananizidi umri tu hapa that's why napotea huku. Nimewamiss tho
Hujui lindo linaanzaga saa ngapi...kwanini? bado mapema sasa!!
hadi maserati yupo! safi sanaaNipo,majukumu yananizidi umri tu hapa that's why napotea huku. Nimewamiss tho
Duh!! Hujalala wewe. Haya nitafunga
Jambo zuri hilo sijui niseme mashemeji zangu hawajambo au shemeji yangu hajambo?huku nilipo salama kabisa chief
sijuiHujui lindo linaanzaga saa ngapi...
Hapo nimekuelewa ndugu yangu....
Daaaah huko ni mambo vulu vulu tuuuu..
Mishe gan huko wafanya jombaaaaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapambano tu mkuu,Ila narudi soon.Ni ka nchi Ka kawaida sn.Ila ni full udikteza zaidi ya huko Kwa mjomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapambano tu mkuu,Ila narudi soon.Ni ka nchi Ka kawaida sn.Ila ni full udikteza zaidi ya huko Kwa mjomba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imefanyeje?
Leo ni Jf mchana wa manane
Sent from my TECNO H6 using Tapatalk
Hivi leo nani aliacha geti wazi mpaka mamluki wakatuingilia?Geti llimefunguliwa rasmi.
Karibuni.
Gkhaaa!!? We mie mkongwe humu
Nipo hapa karibu na huu mjemgo mweupe napigwa na upepo huku nimeshika AK47 nawachek tuuuDuh!! Hujalala wewe. Haya nitafunga
Ah ah ah ah ah ahHivi leo nani aliacha geti wazi mpaka mamluki wakatuingilia?
Wengine tupo baharini ndo tupo kazini. Kurudi alfajiriNipo hapa karibu na huu mjemgo mweupe napigwa na upepo huku nimeshika AK47 nawachek tuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
12midnight -5amsijui
hajambo!Jambo zuri hilo sijui niseme mashemeji zangu hawajambo au shemeji yangu hajambo?
Sent using Jamii Forums mobile app
honey, am glad to see you hereHivi leo nani aliacha geti wazi mpaka mamluki wakatuingilia?
Ukisema nini jamani?
okay...let me note that.12midnight -5am
Hivi leo nani aliacha geti wazi mpaka mamluki wakatuingilia?