JamiiForums Usiku wa manane
Hapo sasa umeniacha njia panda kama yule mwenye hisia za kutolala ambaye sasa hivi anakoroma mpaka mtaa wa7 wanamsikia. Nitafsirie kwa kindengereko swahiba
Hahaha kindengereko ndo kwanza niko kwenye irabu ya kwanza, si nimesikia siku hizi wajita wa kitafsiri gugo chao, ingizamo hayo maneno utapata jibu
 
Watu wa humu nimewamiss sana, naam watatu nimewakumbuka zaidi....
Nazikumbuka zile siku,
Tulizokesha wote usiku,
Japo sikuwa na kitu,
Maisha yangu yalikuwa ya furaha kwa kuwa nanyi.

Salamu zangu za dhati kabisa ziwafikie:
Nleterewa Nganengo,jjes,Neybright,Mwifwa,HB wa Kigogo,Kichwa Kichafu,Maserati,Spade 4 spade,No escape, Manga ML,Inna,Demiss,Iceman 3D,mumu,Mr. Miller,Ipogolo,mgunga pori,carbamazepine.....(nakupenda sana best sijui kwanini, ila jina lako limenishinda kabisa kulishika)
Na wengine wote!

Ujumbe: Wakati ni ukuta, kamwe usishindane nao!


Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom