Hahaha kweli jasiri haachi asiliWatu wa humu nimewamiss sana, naam watatu nimewakumbuka zaidi....
Nazikumbuka zile siku,
Tulizokesha wote usiku,
Japo sikuwa na kitu,
Maisha yangu yalikuwa ya furaha kwa kuwa nanyi.
Salamu zangu za dhati kabisa ziwafikie:
Nleterewa Nganengo,jjes,Neybright,Mwifwa,HB wa Kigogo,Kichwa Kichafu,Maserati,Spade 4 spade,No escape, Manga ML,Inna,Demiss,Iceman 3D,mumu,Mr. Miller,Ipogolo,mgunga pori,carbamazepine.....(nakupenda sana best sijui kwanini, ila jina lako limenishinda kabisa kulishika)
Na wengine wote!
Ujumbe: Wakati ni ukuta, kamwe usishindane nao!

Nakusalimu komrediYeah nilikua naumwa
Salama comrade za masikuNakusalimu komredi
Hivi ile style yako ya kucomenti vinukta umeiacha lini?wozaaaaaaa
Wewe![]()
![]()

Namshukuru Mwenyezi Mungu kwangu bukheri kabisa, naona lindo linaendelea kua salama mikononi mwakoSalama comrade za masiku

Bawa.Popo
Wewe ndio umenifanya nirudi humu...nilikumiss kupitiliza![]()
![]()
Umenikumbusha pale nilipoamua kusherehekea kuachwa kunywa balimi kwa kujipongeza na balimi tatu![]()
![]()
![]()
![]()
Wewe ndio umenifanya nirudi humu...nilikumiss kupitiliza![]()
![]()
Umenikumbusha pale nilipoamua kusherehekea kuachwa kunywa balimi kwa kujipongeza na balimi tatu![]()
![]()
![]()
![]()

Wewe ndio umenifanya nirudi humu...nilikumiss kupitiliza![]()
![]()
![]()

Kamwulize huyo PM wako, nimekuja kwako zaidi ya mara 200 lakini hunikaribishi![]()
![]()
![]()
Huko kunimisi kumeanza lini, dalili za mtu kumisiwa huanza kujionyesha kwa Prime Minister.![]()

Pole sanaYeah nilikua naumwa
Shukrani mamitohThad
Nakumiss sana best ake,nashukuru kwa salamu hizi.
Penda wewe
Vipi kiongozi, mbona kama washangaaAiseee