Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Tatizo sio kuwika, je unafahamu namna sahihi ya kuwika,? je unazingatia muda na muktadha katika uwikaji wako?Hivi kweli swahiba, kokolikoooo ooooh! Inaweza kunishinda kweli? Au mnataka tu kumpaisha jogoo


