Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Kawaulize jirani zangu wote hapa kwa Mtogole, mimi ndio huwa nawaamsha kwa kuwawikiaTatizo sio kuwika, je unafahamu namna sahihi ya kuwika,? je unazingatia muda na muktadha katika uwikaji wako?![]()
![]()

Kawaulize jirani zangu wote hapa kwa Mtogole, mimi ndio huwa nawaamsha kwa kuwawikiaTatizo sio kuwika, je unafahamu namna sahihi ya kuwika,? je unazingatia muda na muktadha katika uwikaji wako?![]()
![]()

![]()
![]()
unataka uvue gamba ? Halafu....? Utavaa gwanda kweli wewe?

Kawaulize jirani zangu wote hapa kwa Mtogole, mimi ndio huwa nawaamsha kwa kuwawikia![]()
Na wewe hushindwi maana una uzoefu wa rambirambi kuipeleka kwenye sherehe za kuunganikaHahaha kiufupi ntajikuta ya kaisari nampea God![]()

Hivi unazungumzia ile timu ya kimataifa, iliyojinyakulia mil 600 juzi kati?Hizi ni dalili tosha kuwa uko mrengo wa lile eneo ambapo maji yanakupwa kipindi cha kiangazi na kujaa kipindi cha masika![]()
![]()

Na wewe hushindwi maana una uzoefu wa rambirambi kuipeleka kwenye sherehe za kuunganika![]()
![]()
![]()

Umesema hukui ila unavua gamba kama nyoka wa makengeza.....lol hivi kwenye hayo matirioni ya juzi hayumo kweli yule jamaa yangu? Maana huwa hachezi mbali na fursa kama hizi![]()
![]()
Hivi kuna sehemu nimetumia neno "gamba" kweli![]()

Hivi unazungumzia ile timu ya kimataifa, ilijinyakulia mil 600 juzi kati?![]()
![]()
![]()
Cc. ThadOk kila mtu atume location yake sasa
Piga hata selfie nusu
Unaongea na mimi au unaongea na simu?Ok kila mtu atume location yake sasa
Piga hata selfie nusu
Tutahimili tu komredi, tuna mwikaji (jogoo) mahiri kabisa humu, tena anajitapa kabisa yeye hua anasimama na mguu mmojaKijiwe kimenoga, Mtahimili mpaka majogoo?

Kijiwe kikishakuwa na gahawa lazima kinoge....karibu tuwemoKijiwe kimenoga, Mtahimili mpaka majogoo?
Bila shaka huyo alikuwa anaota ndoto ya pili sasa
Tatizo lako ukiona ghahawa hua unafakamia mpaka unajikuta umesimama na mabawa badala ya mguu mmojaKijiwe kikishakuwa na gahawa lazima kinoge....karibu tuwemo

Inaelekea enzi zako ulikuwa mahiri wa kunukuu yaani umeninukuu mpaka ambayo nilipanga kuyasema keshokutwaTutahimili tu komredi, tuna mwikaji (jogoo) mahiri kabisa humu, tena anajitapa kabisa yeye hua anasimama na mguu mmoja![]()

Lokeshen pliz stop miandaringBila shaka huyo alikuwa anaota ndoto ya pili sasa

Ya leo siwezi kuifakamia maana muuzaji kanambia gahawa ya leo kaitia klorokwini 72, naogopa kujiova doziTatizo lako ukiona ghahawa hua unafakamia mpaka unajikuta umesimama na mabawa badala ya mguu mmoja![]()
