Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Wee mwache tu anijie na vitu vya ajabu ajabu kama maua na kadi nitamfurumshia mbali hataaminiDah! Mbona mnafanya ligi iishe kabla ya mzunguko wakubwa, au hii ndondo cup? Sasa uhonge nywele kakwambia ana kipara?

