JamiiForums Usiku wa manane
Tangu nijiunge JF sijawahi kuanzishiwa uzi wa kuzimikiwa isipokuwa nimeanzishiwa uzi wa kutakiana asubuhi njema na Demiss.

Hapa kuna haja ya kuunda tume huru ichunguze haya mambo.

Naomba kuwasilisha mada mezani!!


Kwa sasa hivi haumuzi tena mkuu, hata sisi wazee wa baraza tunakushauri kaa nae mbali. Muda si mrefu ataanza kuvaa mikaniki, utaendelea kumtaka?
 
Back
Top Bottom