Badooo napumzka kwanza mkiona nimepotea hapa mjue tayar nimeanza kupaaaaaaMbona kakuacha best? Ujue wewe ndiye mrithi wake wapaswa kujifunza kazi hiyo
Kabla...Wakiwa wapenzi au kabla ya kuwa double
Joze papaa Morinyo muzee ya kabumbu. Umeitwa Baby juzi ukakausha kuonyesha unafurahia ukatuachia balaa kurekebisha penzi la watu...
Wakati mnahangaika kusuluhisha yeye alikuwa anawazoom tu
nu kuhusu ile kesi yangu mimi na wewe..yaani unaona nanyang'anywa tonge mdomoni na Iceman 3D...wewe na jopo lako...KK na carba mnashangilia?? amaa kweli kua uyaone..Kivip?
Hauwezi kujua kitu gani kipo ndani ya nafsi na moyo wangu.Najua ninachokisema![]()
![]()
![]()
Bado sjaanzaAu bado upo kwenye mafunzo?
Yaani sikutegemea wewe na ujanja wako wote uangukie kwa yule mzee mchawikaz kweli kweli

MmmmhhhhNa uzeee wote huo alionao Mwifwa kweli nimlengeshe haiwezekani.
Sna uhakika kama jambo hilo linawezekana
Badooo napumzka kwanza mkiona nimepotea hapa mjue tayar nimeanza kupaaaaaa
KafanyajeMzigua je
Ndo ujiulize The power of TunguliYaani sikutegemea wewe na ujanja wako wote uangukie kwa yule mzee mchawi![]()
![]()
![]()
Yaani sikutegemea wewe na ujanja wako wote uangukie kwa yule mzee mchawi![]()
![]()
![]()
