The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Mlitumia kifungu namba ngapi/ cha sheria ipi/ ya mwaka gani ?
Wakili wako kakuponza
Mlitumia kifungu namba ngapi/ cha sheria ipi/ ya mwaka gani ?
Sawa nasubiri kuona hivyoYan wewe nakuona subiri nitakufurahishaaaa
Usku anatoka anaenda kwenye ulozi sasa anajua nimelala akiona mmemtag huku mnanipa kesiiii akiwa anaondoaka anapuliza kibuyu nasinziaKwani yule anamatatizo ya zile nguvu?
naam chief
Ataangukia kwakoNasubiri nione na wewe utaangukia kwa nani...
cc Thadkashaangukia kwangu![]()
![]()
![]()
![]()
Upako nilionao sio wa dunia hii, sinaswagi kwa matunguli kama huyo x wakoUmesema vyema. X naomba dawa ya kumnasa Thad
Thad is my baby ShemUnamuita nani Babe shem? Uvundo wa juzi bado haujaisha jukwaani ujue.
PoyeeeeeeAnniversary...
kashaangukia kwangu![]()
![]()
![]()
![]()
Ataangukia kwako
Kesho naenda kuanza mazoezi rasm kuweka mwili wangu tayari kwa ajili ya kumzalia mtoto JrAnniversary...
Thad is my baby Shem
Ni kweli kabisa hakuna hata chembe ya uongoMmmh huu ni uongo uliotukuka bila shaka uongo huu umeratibiwa na jje's![]()
![]()
![]()
Wee kaapembeni tupigane vikumbo. Wenye nguvu watauteka ufalme
sawa ngoja niwapishe wenye nguvu zenu