Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Baki huko huko wala sikufuati maana ulienda mwenyewe mzima mzima. Siamini kama umekua kivuruge kiasi hikiTunguli zimenitungua subir expire date uje unichukue
Alinikataa mwanzo atanipenda sasa?sna neno wewe mpende tu thad

App huwa haitoi notification za tags.Nakuita hutak kunisikia hii app mpya mbn inanizingua piem jaman nataka nikutumie zawad nashindwa
Kwa jinsi ulivyo nitakuonga ata nywele zangu inimladi unikubalie tu
Umependa utaisoma, hujaenda utaisoma tu. Yeye mwenyewe(mhusika mkuu) anaisoma kimya kimyaSisomi...



Jiandae kuwa msukuleeeehahahaha......basi nitakuandikia wewe kufanya mapinduzi kwa mshana jr![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahaha mkuu...kawaidaJoze papaa Morinyo muzee ya kabumbu. Umeitwa Baby juzi ukakausha kuonyesha unafurahia ukatuachia balaa kurekebisha penzi la watu...
Kwa kweli haki haijatendeka hata kidogoKumbe hadi wewe bado uamini

App huwa haitoi notification za tags.
Naomba unitumie hiyo zawadi piemu
Ndio mimi...Yan wewe .....
Jiandae kuyapanda sasa, utashukia Nanjilinjindio mkuu nimepanda noah na nissan tu.......mabasi ya kusini bado![]()
![]()
![]()

Mm tenaaa amesema na siledi atakuanzishia nitawasapot balaaaaAsante kwa debe hili
Tunguliii baba hatariii lazma ujae kama zezetaaa zwaaaaaaaaaBaki huko huko wala sikufuati maana ulienda mwenyewe mzima mzima. Siamini kama umekua kivuruge kiasi hiki
Kwa kweli haki haijatendeka hata kidogo![]()
![]()
![]()