JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kuna kipindi kukaa mbali na matatizo inasaidia sana, chukua tu ushauri wa bure kiongozi. Kaa mbali. Hii vita inapiganwa kwa nguvu za giza, atomic, nyuklia, marungu, vifaru, manati, teknolojia, mizinga, fitna na aina zote za silaha...nikikuangalia vizuri sijui hata kama unaweza kunyanyua upinde.

Kuwa mpole kwanza gavana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mbona unanipeperushia ndege wangu!?
 
Back
Top Bottom