HB wa kigogo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 2,489
- 6,251
Wewe ni mzuri sana tu. Uzuri wa mtu upo machoni kwa mtazamajiKwa kuwa mi mzuri si eti eeeh![]()
![]()
![]()
Wewe ni mzuri sana tu. Uzuri wa mtu upo machoni kwa mtazamajiKwa kuwa mi mzuri si eti eeeh![]()
![]()
![]()
Kwanini hii kesi imeenda harakA kama ya suguDPP ameshaifunga kesi.
njoo kwangu utulize moyo thadNilivyorudi mbona ulitangaza kwa Demiss na sio kwangu tena?

Tubashukuru taratibu tunaenda nayo sambambaSio mbaya kiongozi. Mambo yanaendaje?
Asante kwa kunitia moyo japo kidogoWewe ni mzuri sana tu. Uzuri wa mtu upo machoni kwa mtazamaji

Hii analysis huwa inaniozesha moyo, nitakuanzishia uzi.......
Nimeshafunga huo ukurasa, sasa hivi napambana na hali yangu.....nimeshakubali kuwa no way out
Jana nimemuulizia na Inna nae hajuiHiv mdogo wangu dingimtoto amepotelea wapi?
Utaweza kuvumilia ubaya wangu?njoo kwangu utulize moyo thad![]()
![]()
![]()
![]()
Natangaza vita kwa atakae kugusa usalAma wako juu yangu bibie![]()
![]()
Asante kwa kunitia moyo japo kidogo![]()
![]()
![]()
uzuri wa mtu uko machoni kwa mtu......mimi naona unalipa tu kwa kweliUtaweza kuvumilia ubaya wangu?
labda kama macho yanadanganyaNimeshafunga huo ukurasa, sasa hivi napambana na hali yangu.....nimeshakubali kuwa no way out

Jana nimemuulizia na Inna nae hajui
Ungo umekuangushia humu nini



