Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
NooSamehe 7*70.
Now its time niweke parameters, msanaha ukiwa una access kama kuoata hewa tuu.
Atakuja kuongea mambo mabaya zaid humu huyu anajua aaah Ice ana nipebda ata nisamehe tuu.
NooSamehe 7*70.
Toa nafasi ajadili msamaha wako yupo na jazba kwa sasaShemeji nalala vipi bila kumaliza hili jamani, niombee msamaha jamani
Mwanafunzi mbaya sana wewe
mtwange sunspaa miezi 12 mpaka kikao cha bord kitakapo mjadiliNazani hii ya kwanza na ya mwisho asee mana dah.
Kwa hili la leo likiisha sizani kama hata kijiko atadondosha akiwepo![]()





Atiii jino kwa jino
haya dadaSi ndio mnaanza jamani. Asije akaona vipi vipi huyu chalii...sawa kaka...
Am sorryMi sna cha kukueleza
Kama uzi wa D nlikutaka radhi japo nature ya hzi uliiona haikuwa siriaz kabsaa. na unakumbuka tulifika muafaka na mi najua kuna mambo ya utani huwa tunayafanya
Ila jana hukutania
Kwani umefanya twice in diffrnt placez

Wewe baba na baba chanja hamjawahi ita watu wengine humu humu babyUsi panick sana. Mbona mi na baba chanja jamani yunayamaliza mapema tu shemeji
Asanteh shemeji yanguKwa msamaha aliomba kama hatokua makini itakua kakusudia.
Nimeona mpaka moyoni mwake namhurumia msamehe
Hapa Ney tupumzike tuu, ila leo kwa kweli hakuna ulicho sema kika elewekaSema chochote wangu moyo wangu uridhike
Mm pia ni Mwanaume lkn kumbuka.Hata wewe Miller
Braza ukl biased tayari hii ishu huwz kuwa partial.
Kwa hiyi braza una suggest Ney alikuwa ana haki ya kumuita yule jamaa baby wakati mi niko hospital kwa sababu ya ule uzi?Tupangie tu tarehe nyingine ya kesi. Ntamganda Ice mithili ya luba hadi aombe msamaha. Naweza kuleta hapa post zote kwenye ule uzi wa Dina alivyokua anajiachia kama uchebe hadi watu wanambembeleza awatajie mganga wake...mnakumbuka alivyoshtuka baada ya kuona Ney kaibuka? Ila binti nae ana roho ngumu yule utafikiri alqaeda.
Siwezi kulala iceman wanguHapa Ney tupumzike tuu, ila leo kwa kweli hakuna ulicho sema kika eleweka
Sawa tuuMm pia ni Mwanaume lkn kumbuka.
Pumzika usiongee sana mgonjwa
DaahToa nafasi ajadili msamaha wako yupo na jazba kwa sasa