JamiiForums Usiku wa manane
Braza yaan nlikuwa nakupa A

Leo nimekupa F! It seema hauko informed na hii issue.

F nini? Nitwange ziro kabisa, Ney nae binadamu ujue, hana moyo wa chuma, kwa ile hali ya jana binti wa watu akaona upepo usije kugeuka akaanza kutengeneza mazingira rafiki. Hata hivyo papaaaa Jose anaumwa, ujue kuna maneno mgonjwa akiambiwa anapona. Sasa kumwita Baby imekusokotabkiasi hicho mwamba? Tunakutegemea sana mkuu. Usituangushe
 
Nielekeze chochote unachoona nikisema utanielewa nipo radhi kusema ili mradi uelewe na uridhike pia,
Naumia iceman mwenzio usinifanyie hivi jamani
Mi sna cha kukueleza
Kama uzi wa D nlikutaka radhi japo nature ya hzi uliiona haikuwa siriaz kabsaa. na unakumbuka tulifika muafaka na mi najua kuna mambo ya utani huwa tunayafanya
Ila jana hukutania
Kwani umefanya twice in diffrnt placez
 
Tupangie tu tarehe nyingine ya kesi. Ntamganda Ice mithili ya luba hadi aombe msamaha. Naweza kuleta hapa post zote kwenye ule uzi wa Dina alivyokua anajiachia kama uchebe hadi watu wanambembeleza awatajie mganga wake...mnakumbuka alivyoshtuka baada ya kuona Ney kaibuka? Ila binti nae ana roho ngumu yule utafikiri alqaeda.
uchebe
 
Tupangie tu tarehe nyingine ya kesi. Ntamganda Ice mithili ya luba hadi aombe msamaha. Naweza kuleta hapa post zote kwenye ule uzi wa Dina alivyokua anajiachia kama uchebe hadi watu wanambembeleza awatajie mganga wake...mnakumbuka alivyoshtuka baada ya kuona Ney kaibuka? Ila binti nae ana roho ngumu yule utafikiri alqaeda.
your honor carba. This chaliiiiii my ribs
 
Nazani hii ya kwanza na ya mwisho asee mana dah.
Kwa hili la leo likiisha sizani kama hata kijiko atadondosha akiwepo
hahaha sio kweli, the Guy anaonekana anampenda sana ndio sababu bado anahasira mpaka ss hivi, ingekuwa sivyo yangekuwa yameshaisha haya

Trust me...after this saga they will be as stronger as the......
 
Wala sijiingizi mm, ila Ney na yy ameharibu...jana tulimwambia ss, nakumbuka nilimQuote nkamwambia hoja yake haina mashiko hahaha ss hapa leo kwa mdogo kweli

Acha apambane....brother ICE kaza hivyo hivyo hadi alie then umbembelezee hatorudia tenaa
Hapo sawa kwa vile umemtetea swahiba wake ice...sawa kaka endelea..
 
Back
Top Bottom