JamiiForums Usiku wa manane
Ukiona hivyo bado hajafika chini vyema....anyway mr Iceman hawezi kufanya makosa ya kumuacha mwanamke bright na mzuri kama Ney, hasira na uchungu vikiisha wataongea yataisha.


Sasa professor, hata Biblia inasema jua lisizame tukiwa na hasira, huyu mwenzetu usiku wa manane bado katundikiwa drip kwa kuruhusu uchungu na ghadhabu zimtafune. Ney ameshaomba msamaha, anataka nini tena?
 
Ok let's cut to the chase, jana uliharibu, ukamuomba radhi Ney, akakuelewa. Sasa kwanini wewe bingwa leo unataka kujitutumua anapoomba msamaha? Tena unasingizia ugonjwa kuonyesha kwamba hili jambo limechokoza kifaduru hauwezi kuongea. Toa msamaha mambo yaendelee.

Braza tutabaki kuwa ndugu ila uonevu mwiko. Kumbuka bado tunamalizia ukoko wa sikukuu ya wanawake
Braza wewe ndio unaharibu kabsaaa yaan hujui tuu.
Hujui hata kuua ni kuua lakini kuna first geree, second degree na man msloughter

Kama unashindwa kuchambua circusntances za keai zetu halaf una ni mock ugonjwa wangu.
Skuelewi elewi
 
Najua zaidi wewe hukwepo at.
Yule hana nafasi kwa Ney na leo ndo umemaliza kabisa nipo upande wako

Mwanamke wa kuomba msamaha zaidi ya mara zote hakuna kwa sasa ila huyu amethubutu naamini atalinda heahema yetu
Braza una mek sense
Mi najua Ney is the best in the world.

But she was wrong here na sku penda
 
Back
Top Bottom