Mr Miller
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 11,449
- 25,824
Kwann last chance mwaalimu, pambana tu chances bado zimebaki nyingiNisamehe mpenzi wangu, last chance please
Kwann last chance mwaalimu, pambana tu chances bado zimebaki nyingiNisamehe mpenzi wangu, last chance please
Aaagahaa. Wifi jamani...Asbh ntakutafuta uniambie wifi kwa nani....![]()
![]()
![]()
Nadhani za rais wa Korea kidukuHuyu jamaa jazba zake si za nchi hii
Ila ndo uwanaume
Nielekeze chochote unachoona nikisema utanielewa nipo radhi kusema ili mradi uelewe na uridhike pia,Sjui utasemaje nikuelewe Ney wangu
Kwa kweli
Nimekuelewa KLMMlalamikaji mhuni tu, alikua na kimeo tayari, sasa kamtegea dada wa watu ndio kaamua kukandamizia hapo hapo. Kiukweli Ice ni digala wetu mkuu wa kikosi, aombe radhi maisha yaendelee
Nakusaidia kama karani
Niko kazini
JamaniIla Ice wewe ulisifiwa na dina unajua?
Na ney alivumilia?
Au akugeuzie kesi na wewe
Naona fursa ya kuwa wakili hapa
DigalaMlalamikaji mhuni tu, alikua na kimeo tayari, sasa kamtegea dada wa watu ndio kaamua kukandamizia hapo hapo. Kiukweli Ice ni digala wetu mkuu wa kikosi, aombe radhi maisha yaendelee
your honoy naomba Samaritan awe nje ya kesi hii. Ananichekesha sana nashindwa kufanya majukumu yanguMuoga sana yule.
Halafu hii kesi ya leo lazima angekimbia maana wote ni rafiki zake
sipati picha angesimama wapi usikute anachungulia hapaSijui nijitolee kuwa wakili hapaNielekeze chochote unachoona nikisema utanielewa nipo radhi kusema ili mradi uelewe na uridhike pia,
Naumia iceman mwenzio usinifanyie hivi jamani


Sam hafaiNasubiri jibu la mwisho la mlalamikaji.
Akigoma kusamehe tunageuza kesi,Sam yupo atanisaidia
jamani hadi tumbo linaniumaAiseehAaah wapi. Na yeye aombe kwanza msamaha.

KakaaaaaKwann last chance mwaalimu, pambana tu chances bado zimebaki nyingi
sikushauri ujiingize huku,yule mtu atapata wasiwasi. Huoni yeye hajiingizi kabisa huku kakaMi mgonjwa leo sisemi mengiKubali tuongee wangu alafu nitakuelezea kila kitu utanielewa sawa baby?
Braza ni wapi nilimuita D baby pale? Halaf baby gani tunatajwa watu watatu eti. Ike ishu hata haikuwa siriaz
Unajua kuwa Ney ndiye alimuita jose baby kule?
Jaman mi spendi niseme mengi humu
Braza siamini kama uko upande wa Ney.
Samehe 7*70.Jamani
Jana nilikuwa naumwa na siku wepo at least she could reserve it for another day.
Hivi jaman D alitusifia watu watatu, kwanza hata stori ile ilikuwa haimek sebse uki iangalia.
Naye anatetea ovu kwa ovuUnafukua mikaburi
