dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Nisamehe bae nilipitiwaUnalalaje kabla ya Inna
Nisamehe bae nilipitiwaUnalalaje kabla ya Inna
Wapi tena mrembo
Acha mikwara hebu jibu uko.!Hatujazoea fujo humu
Naona kama kawaida yako kudandia tu nyumaNisamehe bae nilipitiwa
Niambie mdogo wangu upoWapi tena mrembo
Wwpi tena?;Acha mikwara hebu jibu uko.!
Kalaga bao wewe utabak hivyo hivyo na. Maneno yakoNaona kama kawaida yako kudandia tu nyuma
Niambie mdogo wangu upo
umejuaje mimi mdogo wako ujue unawea kuwa mwanangu wewe usione hilo jinaSweetheart.. Nimefika u hali gani.?Darlin wa mie nakusubir hapa ujue
Mbona unakimbia kama unarudi nyuma?
Hijalala kisa, me nimekosa usingiziWwpi tena?;
Kwema kabisa kiongoziKwema humu
Kuna mdau amekuuliza kuwa umeolewa?Wwpi tena?;
Tunakusalimia pia bossPopozz nawasalimu
Jishaue tuKalaga bao wewe utabak hivyo hivyo na. Maneno yako
Endelea kuota![]()
umejuaje mimi mdogo wako ujue unawea kuwa mwanangu wewe usione hilo jina
Mbona unajihami?Hijalala kisa, me nimekosa usingizi