iPhone ni kama mkoba wa Gucci au Luis Vuitton wenye buku jero ndani. Ni muonekano tu lakini unabanwa matumizi, Sijutii kuhamia Android

iPhone ni kama mkoba wa Gucci au Luis Vuitton wenye buku jero ndani. Ni muonekano tu lakini unabanwa matumizi, Sijutii kuhamia Android

watu kibao

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2025
Posts
466
Reaction score
1,645
Nimezitumia Iphone kwa mudamrefu, nilikuwa sisikii wala sioni simu nyingine nje ya iphone, ila baada ya kuhamia android sijioni kabisa nikirudi nilikotoka.

Simu za android hapa nazoziongelea ni zile topbrand Samsung, Google Pixe, One Pus, Xiaomi,

Mitandao ya simu inakubana ukitumia Iphone,

Iphone - System inaruhusu mitandao kuifunga simu usiweze kuwasha wifi hotspot, yaani bando ni lako ila cha ajabu unapangiwa jinsi ya kulitumia, niliwahi kutumia Halotel simu ilikuwa haiwezi kurusha Wifi Hotspot, kwenye nchi za nje mitandao mingi sana wanawabana watumiaji, huu sio uhuru.

Android - huku ni full utawala, unawasha wifi hotspot kwa uhuru bila kujali mtandao wala nchi, bando ni langu sitaki kufanyiwa maamuzi namna ya kulitumia

Kuinstall apps kwa mfumo wa mafaili bila kuingia store wala kutumia bando.

Iphone - Nilikuwa nabanwa ku install apps hadi niingie I store, bila bando au mtandao ni taabu

Android - naweza kutunza nakala ya app kwenye simu nikaja ku install baadae bila haja ya kuingia store wala internet, ni rahisi zaidi

Kuseti wimbo wa muito wa simu

Iphone - Ni process ndefu kidogo na ukiwa sio mjuzi huwezi

Android - Unachagua muziki wako, unaseti hapo hapo

kucopy mafaili kwenye computer

Iphone - system ya iphone imebana kucopy mafaili hadi uwe na program za ziada kama Itunes

Android - Ni fasta tu, nachomeka usb cable, natoa loki, naanza kuhamisha mafaili, kama flash yani

Kurekodi simu

Iphone - Iphone kwa mara ya kwanza imeruhusiwa kurekodi calls mwishoni mwa 2024., lakini bado huwezi kuinganisha na android, kwenye iphone ukitaka kurekodi call kuna sauti inawajulisha washiriki wote kwamba simu inarekodiwa, halafu kuna notification inayoonekana kwenye screen unarekodiwa. mtu akishajua unamrekodi mawasiliano hayawezi kuwa ya kawaida.

Android - na enjoy sana hii teknolojia, ni rahisi kuitumia na yenye faida kubwa

Multi Tasking

Iphone - System ina uwezo mdogo kwenye kufanya mambo mengi kwa mpigo, mfano system yake hairuhusu split screen, Kuna baadhi ya apps zinalazimisha lakini zinapwaya.

Android - Ni feautue ya iliyoruhusiwa bila mipaka, ni nzuri sana na naitumia kufanya baadhi ya mambo fasta

Kusoma flash kwenye simu

Iphone - Ni kero kubwa, sytem hairuhusu kusoma baadhi ya flash zilizo kwenye mfumo wa NTFS ambao ni maarufu, inabidi uformat upya flash iwe fat32 au exfat

Android - Unatumia flash kama umeichomeka kwenye pc

Speed ya kuchaji

Iphone - ina fast charge lakini yenye umeme mdogo, speed ya kuchaji ni ya kawaida, fast charge yake ni watts 25

Androids - Simu zinachaji fasta sana, charging system inaweza kumudu wats 100,

Camera

Iphone - Kwa muda mrefu sana ulikuwa huwezi kuniambia chochote kwenye camera ya iphone lakini....

Android - Nilikaririhswa muda mrefu iphone is the best kwenye camera lakini android hawana dogo, mfano kwa sasa simu zinazoongoza kwenye takwimu mbalimbali maarufu ni pixel 9 pro
 
Nimezitumia Iphone kwa mudamrefu, nilikuwa sisikii wala sioni simu nyingine nje ya iphone, ila baada ya kuhamia android sijioni kabisa nikirudi nilikotoka.

Simu za android hapa nazoziongelea ni zile topbrand Samsung, Google Pixe, One Pus, Xiaomi,

Mitandao ya simu inakubana ukitumia Iphone,

Iphone - Bando ni langu cha ajabu napangiwa jinsi ya kulitumia, Nilikuwa natumia Halotel lakini nabanwa kurusha Wifi Hotspot, ilibidi niwe niingie gharama za ziada kusajili line ya ziada na kuinunulia router,

Android - Muda huu na enjoy sana, nilidhani simu zote zinafungiwa hotspot ila huku ni full utawala, nawasha wifi hotspot kwa uhuru.

Kuinstall apps kwa mfumo wa mafaili bila kuingia store wala kutumia bando.

Iphone - Nilikuwa nabanwa ku install apps hadi niingie I store, bila bando au mtandao ni taabu

Android - naweza kutunza nakala ya app kwenye simu nikaja ku install baadae bila haja ya kuingia store wala internet, ni rahisi zaidi

Kuseti wimbo wa muito wa simu

Iphone - Ni process ndefu kidogo na ukiwa sio mjuzi huwezi

Android - Unachagua muziki wako, unaseti hapo hapo

kucopy mafaili kwenye computer

Iphone - system ya iphone imebana kucopy mafaili hadi uwe na program za ziada kama Itunes

Android - Ni fasta tu, nachomeka usb cable, natoa loki, naanza kuhamisha mafaili, kama flash yani

Kurekodi simu

Iphone -hapa ndipo paliponifanya niichukie hii simu, yani kurekodi simu system hairuhusu, kuna maongezi muhimu huwezi kuweka kumbukumbu

Android - na enjoy sana hii teknolojia, ni rahisi kuitumia na yenye faida kubwa

SPLIT screen

Iphone - System hairuhusu, Kuna baadhi ya apps ambazo kimsingi ni kama tabs kwenye browswer, system haitoi ruhusa kamilifu ya hii kitu.

Android - Ni feautue ya simu tayari isiyo na mipaka, ni nzuri sana na naitumia kufanya baadhi ya mambo fasta

Kusoma flash kwenye simu

Iphone - Ni kero kubwa, sytem hairuhusu kusoma baadhi ya flash zilizo kwenye mfumo wa NTFS ambao ni maarufu, inabidi uformat upya flash iwe fat32 au exfat

Android - Unatumia flash kama umeichomeka kwenye pc

Speed ya kuchaji

Iphone - ina fast charge lakini yenye umeme mdogo, speed ya kuchaji ni ya kawaida, fast charge yake ni watts 25

Androids - Simu zinachaji fasta sana, charging system inaweza kumudu wats 100,

Camera

Iphone - Kwa muda mrefu sana ulikuwa huwezi kuniambia chochote kwenye camera ya iphone lakini....

Android - Nilikaririhswa muda mrefu iphone is the best kwenye camera lakini android hawana dogo, mfano kwa sasa simu zinazoongoza kwenye takwimu mbalimbali maarufu ni pixel 9 pro
Wewe una simu Gani kwa sasa
 
toleo lipi la iphone lilikuzuia kutumia wi-fi na mobile hotspot?
Nimezitumia Iphone kwa mudamrefu, nilikuwa sisikii wala sioni simu nyingine nje ya iphone, ila baada ya kuhamia android sijioni kabisa nikirudi nilikotoka.

Simu za android hapa nazoziongelea ni zile topbrand Samsung, Google Pixe, One Pus, Xiaomi,

Mitandao ya simu inakubana ukitumia Iphone,

Iphone - Bando ni langu cha ajabu napangiwa jinsi ya kulitumia, Nilikuwa natumia Halotel lakini nabanwa kurusha Wifi Hotspot, ilibidi niwe niingie gharama za ziada kusajili line ya ziada na kuinunulia router,

Android - Muda huu na enjoy sana, nilidhani simu zote zinafungiwa hotspot ila huku ni full utawala, nawasha wifi hotspot kwa uhuru.

Kuinstall apps kwa mfumo wa mafaili bila kuingia store wala kutumia bando.

Iphone - Nilikuwa nabanwa ku install apps hadi niingie I store, bila bando au mtandao ni taabu

Android - naweza kutunza nakala ya app kwenye simu nikaja ku install baadae bila haja ya kuingia store wala internet, ni rahisi zaidi

Kuseti wimbo wa muito wa simu

Iphone - Ni process ndefu kidogo na ukiwa sio mjuzi huwezi

Android - Unachagua muziki wako, unaseti hapo hapo

kucopy mafaili kwenye computer

Iphone - system ya iphone imebana kucopy mafaili hadi uwe na program za ziada kama Itunes

Android - Ni fasta tu, nachomeka usb cable, natoa loki, naanza kuhamisha mafaili, kama flash yani

Kurekodi simu

Iphone -hapa ndipo paliponifanya niichukie hii simu, yani kurekodi simu system hairuhusu, kuna maongezi muhimu huwezi kuweka kumbukumbu

Android - na enjoy sana hii teknolojia, ni rahisi kuitumia na yenye faida kubwa

SPLIT screen

Iphone - System hairuhusu, Kuna baadhi ya apps ambazo kimsingi ni kama tabs kwenye browswer, system haitoi ruhusa kamilifu ya hii kitu.

Android - Ni feautue ya simu tayari isiyo na mipaka, ni nzuri sana na naitumia kufanya baadhi ya mambo fasta

Kusoma flash kwenye simu

Iphone - Ni kero kubwa, sytem hairuhusu kusoma baadhi ya flash zilizo kwenye mfumo wa NTFS ambao ni maarufu, inabidi uformat upya flash iwe fat32 au exfat

Android - Unatumia flash kama umeichomeka kwenye pc

Speed ya kuchaji

Iphone - ina fast charge lakini yenye umeme mdogo, speed ya kuchaji ni ya kawaida, fast charge yake ni watts 25

Androids - Simu zinachaji fasta sana, charging system inaweza kumudu wats 100,

Camera

Iphone - Kwa muda mrefu sana ulikuwa huwezi kuniambia chochote kwenye camera ya iphone lakini....

Android - Nilikaririhswa muda mrefu iphone is the best kwenye camera lakini android hawana dogo, mfano kwa sasa simu zinazoongoza kwenye takwimu mbalimbali maarufu ni pixel 9 pro
 
Mkuu iphone gani hio haiwezi ku record? uli update IOS kweli?
Iphone kwa mara ya kwanza imeanza kurekodi simu October 28, 2024., kabla ya hapo haikuweza.

LAKINI

kabla hujaanza kurekodi kuna sauti inawajulisha washiriki wote kwamba simu inarekodiwa.Kuna notification inayoonekana kwenye screen wakati wa kurekodi.

Mtu anaejua unamrekodi lazima abadilike
 
Nimezitumia Iphone kwa mudamrefu, nilikuwa sisikii wala sioni simu nyingine nje ya iphone, ila baada ya kuhamia android sijioni kabisa nikirudi nilikotoka.

Simu za android hapa nazoziongelea ni zile topbrand Samsung, Google Pixe, One Pus, Xiaomi,

Mitandao ya simu inakubana ukitumia Iphone,

Iphone - System inaruhusu mitandao kuifunga simu usiweze kuwasha wifi hotspot, yaani bando ni lako ila cha ajabu unapangiwa jinsi ya kulitumia, niliwahi kutumia Halotel simu ilikuwa haiwezi kurusha Wifi Hotspot, kwenye nchi za nje mitandao mingi sana wanawabana watumiaji, huu sio uhuru.

Android - Muda huu na enjoy sana, nilidhani simu zote zinafungiwa hotspot ila huku ni full utawala, nawasha wifi hotspot kwa uhuru.

Kuinstall apps kwa mfumo wa mafaili bila kuingia store wala kutumia bando.

Iphone - Nilikuwa nabanwa ku install apps hadi niingie I store, bila bando au mtandao ni taabu

Android - naweza kutunza nakala ya app kwenye simu nikaja ku install baadae bila haja ya kuingia store wala internet, ni rahisi zaidi

Kuseti wimbo wa muito wa simu

Iphone - Ni process ndefu kidogo na ukiwa sio mjuzi huwezi

Android - Unachagua muziki wako, unaseti hapo hapo

kucopy mafaili kwenye computer

Iphone - system ya iphone imebana kucopy mafaili hadi uwe na program za ziada kama Itunes

Android - Ni fasta tu, nachomeka usb cable, natoa loki, naanza kuhamisha mafaili, kama flash yani

Kurekodi simu

Iphone - Iphone kwa mara ya kwanza imeruhusiwa kurekodi calls mwishoni mwa 2024., lakini bado huwezi kuinganisha na android, kwenye iphone ukitaka kurekodi call kuna sauti inawajulisha washiriki wote kwamba simu inarekodiwa, halafu kuna notification inayoonekana kwenye screen unarekodiwa.

Android - na enjoy sana hii teknolojia, ni rahisi kuitumia na yenye faida kubwa

SPLIT screen

Iphone - System hairuhusu, Kuna baadhi ya apps ambazo kimsingi ni kama tabs kwenye browswer, system haitoi ruhusa kamilifu ya hii kitu.

Android - Ni feautue ya simu tayari isiyo na mipaka, ni nzuri sana na naitumia kufanya baadhi ya mambo fasta

Kusoma flash kwenye simu

Iphone - Ni kero kubwa, sytem hairuhusu kusoma baadhi ya flash zilizo kwenye mfumo wa NTFS ambao ni maarufu, inabidi uformat upya flash iwe fat32 au exfat

Android - Unatumia flash kama umeichomeka kwenye pc

Speed ya kuchaji

Iphone - ina fast charge lakini yenye umeme mdogo, speed ya kuchaji ni ya kawaida, fast charge yake ni watts 25

Androids - Simu zinachaji fasta sana, charging system inaweza kumudu wats 100,

Camera

Iphone - Kwa muda mrefu sana ulikuwa huwezi kuniambia chochote kwenye camera ya iphone lakini....

Android - Nilikaririhswa muda mrefu iphone is the best kwenye camera lakini android hawana dogo, mfano kwa sasa simu zinazoongoza kwenye takwimu mbalimbali maarufu ni pixel 9 pro
Hongera kwa kutoka jela na karibu huku kwetu uraiani...
 
iPhone/iOS huwa ni kwa watumiaji wanaopenda kujidai, halafu wengi wao matumizi ya simu ni kupiga, kupokea, kutext na picha...

Android ni uwanja huru, ni wewe na ujuzi wako tu wa kufanya vitu vingi pasipo mipaka...
 
Back
Top Bottom