iphone

  1. Amour_9

    JamiiForums Tanzania Nauza iPhone 8 Plain

    Nauza iphone 8 used, iko kwenye hali nzuri haina tatizo lolote - 64gb memory Bei 350,000 tzs Location-mbagala mission 0656970469
  2. Goodluck Boaz

    JamiiForums Tanzania Iphone Xs Max

    Nauza iPhone Xs Max gb 256, battery 100, no face, bei Tsh 320,000/= Imenyooka sana kam mpya Tuwasiliane 0672901144 Ipo moshi KCMC
  3. Barakha John

    JamiiForums Tanzania Usinunue Tena Iphone Kwenye Box Bila Kujua Siri Hii , Utashangaa….

    Asilimia 95% ya simu za iphone ambazo watanzania wengi wanauziwa kwenye box huwa ni simu used…. Je, Ulikuwa unajua hili ? kama hujui basi habari ndio hiyo. ……naona unabisha pengine wewe mwenyewe au rafiki au ndugu ulisha wahi muona amenunua simu mpya kabisa na amefungua kwenye box …sasa...
  4. Mad Max

    JamiiForums Tanzania iPhone 17 Pro Max tusiichukulie poa likija swala la camera!

    Christina Koch akipiga selfie na Dunia kutoka space. Nasa wameconfirm iPhone 17 Pro Max imehusika.
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania iPhone Fold itagharimu hadi Million 6 hivi za Kitanzania!

    Wakati wa kuzindua iPhone 18 series itatoka na iPhone Fold. Ni iPhone ya kukunja ya kwanza kutoka Apple. Base model ya 256 GB itakua $1,999 wakati ya juu ya 1TB itakua $2,400. Hapo bado ushuru, na faida za wenye maduka. Kazi ipo.
  6. adriz de mbusii

    JamiiForums Tanzania Kati ya iPhone 17 pro max na Samsung Galaxy S26 Utra ninunue simu ipi ?

    Moja kwa moja . Nina mpango wa kuvunja kibubu ninunue simu Kali wakuu maana nimechoka kutumia kifaa Cha mawasiliano . Mwaka huu In Shaa Allaah mambo yakiwa mazuri nataka nitenge bajeti ya kununua simu isizidi Million 4 , sasa katika pitapita zangu simu zinazotrend sasa Duniani ni hizo. Lengo...
  7. Youngstunna

    JamiiForums Tanzania iPhone 14 promax bei 1 M

    Battery health 86% , Box lake na chaji unapata , Clean and Good condition Location Magomeni mapipa contact 0744 53 59 51
  8. gonamwitu

    JamiiForums Tanzania Ofa!! Ofa!! Nauza iPhone 12, charger yake na earbuds vyote kwa pamoja laki 4 tu (400,000). Mali ipo Dodoma

    Nauza iPhone 12 Plain 128GB. Simu haina mchubuko wala mkwaruzo. Network: 5G Waterproof: Ina kiwango cha IP68 (dust na water resistance). Hailingizi maji, unaweza hata kupiga video call ukiwa ndani ya maji. Display: Super Retina XDR OLED, HDR10 na Dolby Vision. Kioo kina ubora wa hali ya juu...
  9. gonamwitu

    JamiiForums Tanzania Nauza iPhone 12 plain 128gb,charger,earpods na cover

    Nauza iPhone 12 plain simu haina shida yoyote ile iko pilu namba 0768073471 simu ipo dodoma.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Iphone 17 pro max vs Samsung S25 ultra. Ipi ninunue?

    Maoni yenu wakuu. Zote ziwe 512GB. ipi nichukue, ni mtumiaji wa ios na android pia. Nilitaka nibebe zote pamoja, lakin nataka nianze na moja. Kama kuna tofauti na hizo ambazo bora zaidi nakaribisha pia. Asanteni.
  11. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Kwa Mil 6 Unapata iPhone 17 Pro Max Bila Charger wala Cover au BMW 3 Series na chenji ya Service!

    Maisha yako speed. iPhone 17 Pro Max 512 GB pale iStore Mlimani City inauzwa Mil 6. Kwenye package unapata iPhone, USB C, pini ya kutolea laini na Makaratasi. Hamna kichwa cha chaja, hamna protector, earphone wala kava. Ila kwa iyo iyo bei unapata BMW E90 2007 namba D na inabaki pesa ya...
  12. Bullshit

    JamiiForums Tanzania N haramu kumtakia heri ya xmas ndugu yako mkristo ila si haramu tumia iphone CEO Gay

    Ebu jaribu kunielezea ili nielewe.
  13. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: iPhone 18 kuja bila Dynamic Island, Watumiaji waanza kulalamika

    Toleo jipya la iPhone 28 Pro na iPhone 18 Pro Max halitakuwa na Dynamic Island na Face ID itakuwa chini ya kioo. Ikumbukwe, Dynamic Island ilianza kutumika kwenye iPhone 14 Pro na kuendelea. Baadhi ya wadau wameanza kulalamika kuwa iPhone zinarudi kwenye muundo wa simu za android...
  14. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania Walichoshindwa Apple kutoka kwenye simu za Android

    Kama umeshawahi kutumia simu ya iphone ukifungua apps nyingi wakati unatumia simu yako, ukizitaka kuzifunga kwa pamoja haiwezekani kabisa ? Unajua kwanini 🙂. Mtumiaji wa simu ya iphone hawezi kuzifunga apps zote alizozifungia kwa wakati mmoja kutokana na Mfumo wa iOS ulioundwa kuweza kudhibiti...
  15. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Apple wamezindua socks kwaajili ya iPhone yako kwa Tsh 560,000/= tu!

    Yap! Hujakosea kusoma. Socks kwa Laki 5 na Elfu 60 tu ($230), hapo ni US bado usafiri, kodi na faida ya muuzaji. Apple wamezidua phone pocket aka iPhone socks kwaajili ya kubebea iPhone yako yoyote kuanzia mpya 17 series kurudi nyuma. Kwa kushirikiana na designer wa Japan, Issey Miyake...
  16. P

    JamiiForums Tanzania Jamaa kapata iphone 17 kiugumu sana

  17. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Gharama za iPhone mpya kuanzia 2007-2025!

    Hapo mwanzo, iPhone zilikua na bei ya kawaida tu. Ila sahivi.
  18. BM256

    JamiiForums Tanzania Uzi wa iphone cases/covers za aina mbalimbali

    Tunauza covers za iphone mbalimbali kuazia iphone 11 na kuendelea. Tupo kariakoo mtaa wa msimbazi Horizon tower.
  19. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Tesla ni kama iPhone. Wanawaibia wateja wao kwa updates ndogo ndogo kila toleo jipya na kuongeza bei!

    Inaonekana Wamarekani na kuwaibia wateja ni kitu cha kawaida. Tesla wanataka kuzindua new Model Y ili week, wenyewe wanaiita Striped Model Y kwamba imeondolewa baadhi ya features na kuuzwa bei nafuu, ila sio nafuu kuliko Model 3. Hawa jamaa naona kabisa wanaleta utapeli. Kuanzia updates ya...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Nchi imebadilika sana, watu wanamenya maganda ya iphone mpya za milioni 5 kama karanga

    Tulikotoka ni wachache sana walikuwa na uwezo wa kununua iphone latest matoleo mapya ya milioni 3 hadi 6 Ilikuwa ni risk kubwa sana kuweka simu hizi dukani kwasababu hakukuwa na soko la uhakika Hali ya sasa imebadilika, mizigo ipo wa kutosha, watu hawaoni shida kununua iphone 17 mpya kutoka...
Back
Top Bottom