iphone

  1. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Aliomba Iphone kwa wapenzi wake 20, kisha akaziuza na kununua nyumba

    Mwanamke mmoja nchini China, aliyetambulishwa kwa jina bandia la Xiaoli, alizua gumzo mtandaoni mwaka 2016 baada ya kuripotiwa kuwa aliwaomba kila mmoja wa wapenzi wake 20 kumnunulia simu aina ya iPhone 7. Kwa mujibu wa ripoti zilizochapishwa na vyombo mbalimbali vya habari wakati huo, Xiaoli...
  2. Barakha John

    JamiiForums Tanzania Ukitumia Simu Hizi 7 Utatupa Hiyo Iphone, Pixel au Samsung Yako

    UZI …. Wakati naanza kazi ya kuuza simu mwaka 2021 , kuna kitu kilinishangaza kidogo … Wabongo wengi wakija dukani walikuwa wanaulizia sana Samsung , Iphones , Pixel , Tecno , Infinix lakini hali hii ilikuwa tofauti kwa wageni …. Kivipi ?…. Idadi kubwa ya Wachina n Wahindi sana sana na...
  3. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗪𝗵𝗮𝘁𝘀𝗮𝗽𝗽 𝗶𝗺𝗲𝗹𝗲𝘁𝗮 𝗸𝗶𝗽𝗲𝗻𝗴𝗲𝗹𝗲 𝗰𝗵𝗮 𝗸𝘂𝗮𝗻𝗴𝗮𝗹𝗶𝗮 𝘀𝘁𝗮𝘁𝘂𝘀 𝘃𝗶𝗱𝗲𝗼 𝗸𝘄𝗮 𝗵𝗮𝗿𝗮𝗸𝗮

    Umechoka kutizama video mbalimbali za Whatsapp kwa muda mrefu 👋 WhatsApp inaanza kusambaza kipengele kipya kitakachokuwezesha kuangalia video za Status kwa kasi mara mbili ⚡📱 Ukiwa unaangalia video, shikilia upande wa kulia wa screen ili video icheze kwa 2× speed. Ukiachia, itarudi kwenye...
  4. Jannatul Firdaus

    JamiiForums Tanzania Apple imezindua iPhone 18 Pro na iPhone 18 Pro Max

    Apple imezindua iPhone 18 Pro na iPhone 18 Pro Max, huku bei zikianzia $1,199, sawa na takribani TSh milioni 3.18, wakati toleo la Pro Max likianzia $1,299, sawa na takribani TSh milioni 3.44 kwa viwango vya sasa vya ubadilishaji. Simu hizo zimekuja na chip mpya ya A20 Pro, iliyotengenezwa kwa...
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania 9 September 2026: Apple wazindua simu tatu, iPhone Duo, iPhone 18 Pro, iPhone 18 Pro Max na accessories nyingine!

    Leo Tarehe 9 September, CEO mpya wa Apple John Ternus (amemreplace Tim Cook alieachia madaraka mwanzoni mwa huu mwezi), amezindua products mbalimbali za Apple kwenye event yao waliyoiita "Surprise and Shine"! Event hiyo iliofanyika kwenye Steve Job's Theater, Apple Park California, USA, usikute...
  6. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Apple washakinukisha huko na iPhone 18, lindeni migongo yenu.

    Mie sina mengi ila nawasihi nyinyi mabinti na vijana wa mjini msio na kazi za maana lakini mnataka kumiliki iphone kila toleo jipya "Lindeni migongo yenu" mgongo ni kiungo muhimu sana
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Apple yatambulisha iPhone 18 Pro. Mambo tisa yatakushangaza zaidi

    Apple yatambulisha iPhone 18 Pro. Apple imesema iPhone 18 Pro na Pro Max mpya zina mfumo bora zaidi wa kamera, maisha marefu zaidi ya betri na utendaji wenye nguvu zaidi kuwahi kutolewa kwenye iPhone. Apple inasemekana imeandaa maboresho makubwa kwenye iPhone 18 Pro, huku baadhi ya mabadiliko...
  8. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Three Arrested Over iPhone Theft at King Saha Show

    Kampala Metropolitan Police South, through Nateete Police Division, has arrested three suspects in connection with the theft and possession of a suspected stolen iPhone 11. The arrests followed a video circulating on social media showing a woman crying after her mobile phone was reportedly...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Phone4Sale iPhone 13 Plain 128 GB💰 BEI: TSH 830,000

    iPhone 13 Plain — 128 GB 💰 PRICE TSH 830,000/= 🎁 FREE GIFTS: ✅ Free Cover ✅ Free Screen Protector 📍 kariakoo boss & masasi street ☎️0760118225
  10. Gospel KTV

    JamiiForums Tanzania Tatizo la iPhone 14 kutochaji tatizo linaweza kuwa nini? Nimejaribu Njia zote

    Wakuu habari, Nina iPhone 14 ambayo imeacha kuchaji kabisa. Nikiweka cable kwenye charging port haichaji kabisa. Nimejaribu njia zote lakini bado haichaji. Kwa wenye uzoefu na iPhone 14, tatizo kama hili linaweza kuwa nini? Naomba msaada hasa kwa mtu aliyewahi kukutana na tatizo kama hili na...
  11. masai dada

    JamiiForums Tanzania naombeni duka linalouza iphone og

    plz msiwataje hawa bei zao ni kubwa sana
  12. B

    JamiiForums Tanzania Roho imeniuma Sana, unahangaika kuhonga Mwanamke wewe unatumia Samsung yeye anatumia iPhone 16 promax

    Imeniuma sana. Huyu bi dada kila siku kunipiga vizinga, kuomba omba unajitia ana njaa Kali Sana, hata Kodi namlipia Mimi, kila siku hata nauli ya kwenda Chuo ananiomba, najibana kadiri niwezavyo ili nimrudhishe.. Siku zote naona anatumia iPhone ila sijui anatumia toleo lipi. Leo ndio nagundua...
  13. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 𝗔𝗣𝗣𝗟𝗘 𝗞𝗨𝗧𝗛𝗜𝗕𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗣𝗜𝗖𝗛𝗔 𝗬𝗔𝗞𝗢 𝗜𝗠𝗘𝗣𝗜𝗚𝗪𝗔 𝗡𝗔 𝗜𝗣𝗛𝗢𝗡𝗘 𝗔𝗨 𝗔𝗜 😀😀

    Apple inaonekana kutengeneza mfumo mpya unaoitwa “Apple Reference Image” ambao unaweza kusaidia kuthibitisha kwamba picha fulani ilipigwa moja kwa moja na kamera ya iPhone. 🤯 Katika dunia ambayo AI inaweza kutengeneza picha zinazofanana kabisa na uhalisia, Apple inataka kuweka uthibitisho wa...
  14. Poker

    JamiiForums Tanzania iPhone 18 Pro Max na Ultra Yaja! Kaa tayari kwa Sept 9

    Kampuni ya apple imeamua kuja na iphone 18 promax. iPhonee 18 Pro Maxx ndiyo simu ya kisasa zaidi ya Apple, naam ya kisasa haswa inayotarajiwa kutangazwa rasmi kwenye Apple Event mnamo Tarehe 8 au 9 Septemba, 2026, na kuanza kuuzwa madukani katikati au mwishoni mwa mwezi huo wa Septemba...
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Programu ya Mwendokasi haipatikani kwenye App Store na upatikaji wa kadi bado ni shida

    Abiria wa Mwendokasi ni wengi, lakini upatikanaji wa kadi za usafiri ni changamoto. Hali hii inalazimu baadhi ya abiria kusubiri mtu mwenye kadi na kumuomba awasaidie kuweka fedha ili waweze kutumia huduma. Pia, watumiaji wa iPhone wanakabiliwa na changamoto ya kutopatikana kwa programu ya...
  16. Teknolojia ni Yetu sote

    JamiiForums Tanzania 🔓🔥 𝗠𝗪𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗪𝗔 𝗨𝗟𝗜𝗡𝗭𝗜? 𝗶𝗢𝗦 𝟮𝟲 𝗦𝗮𝘀𝗮 𝗜𝗻𝗮 𝗝𝗮𝗶𝗹𝗯𝗿𝗲𝗮𝗸!

    🍎 Apple alisema “iOS 26 ni salama kabisa…” 😏 haitaweza kuwa na jailbreak 👀 😈Jailbreak community: “Hold my iPhone!” 😂🔥 Hatimaye developer maarufu ulimwenguni Lars Froder anayejulikana kama opa334 ametoa Mfumo ambao unaweza kuondoa vizuizi kwa watumiaji wa iphone. Dopamine 3.0 imeleta jailbreak...
  17. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania IPhone, SmartTV, AI... na vifaa vingi 'smart' vinakuangalia na kukufuatilia maisha yako

    IPhone ni EYEPhone = inakuangalia SmartTV ina uwezo wa kukurekodi ... haijaitwa smart bure AI inatangazwa kutusaidia... ivi wenye GMAIL umeshagundua AI inasummarise email zako? manake inazisoma. Kote tunakowasiliana INSTAGRAM, WHATSAPP sasa AI imerahisisha kutufuatilia * kuwa mtu wa kucheki...
  18. Amour_9

    JamiiForums Tanzania Nauza iPhone 8 Plain

    Nauza iphone 8 used, iko kwenye hali nzuri haina tatizo lolote - 64gb memory Bei 350,000 tzs Location-mbagala mission 0656970469
  19. Goodluck Boaz

    JamiiForums Tanzania Iphone Xs Max

    Nauza iPhone Xs Max gb 256, battery 100, no face, bei Tsh 320,000/= Imenyooka sana kam mpya Tuwasiliane 0672901144 Ipo moshi KCMC
  20. Barakha John

    JamiiForums Tanzania Usinunue Tena Iphone Kwenye Box Bila Kujua Siri Hii , Utashangaa….

    Asilimia 95% ya simu za iphone ambazo watanzania wengi wanauziwa kwenye box huwa ni simu used…. Je, Ulikuwa unajua hili ? kama hujui basi habari ndio hiyo. ……naona unabisha pengine wewe mwenyewe au rafiki au ndugu ulisha wahi muona amenunua simu mpya kabisa na amefungua kwenye box …sasa...
Back
Top Bottom