Ndiyo yale " businesses motivation speakers" ya kwenye keyboards yanayokuambia ukalime matikiti maji ilihali lenyewe limejikalia tu kula na kulala kwa Shemeji yake.Kila mtu nyuma ya keyborad ni warrior,expert na kujua kila kitu.
Kwakweli vifo vya polisi jana na yule mlinzi wa kampuni binafsi ni jambo la kusikitisha sana.
Hawa watu wana familia zoa, wake na watoto huko nyumbani, inasikitisha kwamba baba kaenda kazini lakini hatorudi kamwe nyumbani akiwa hai.
Pamoja na hayo, polisi waliokwenda kukabiliana na Hamza walionesha madhaifu ambayo ni muhimu yafanyiwe kazi. Kuendelea kumpiga risasi mtu ambaye tayari yuko chini sio sawa kabisa.
Pia kama kuna uwezekano wa kumkamata mhalifu akiwa hai pasipo kuhatarisha maisha ya askari, lazima hicho kiwe kipaumbele badala ya kuua tu.
Acheni siasa uchwara zinazowatoa ufahamu kama vile hao Polisi hatuishi nao mitaani nakati tunaishi nao vizuri tu na kukutana ktk biashara, makanisani, misikitini, vyuoni, michezoni n.kHuwezi kupanda maharagwe ukatarajia kuvuna mahindi. Kama ungekuwa na akili ungejiuliza kwa umakini mkubwa zaidi chanzo cha chuki hiyo ni nini badala ya kubwabwaja tu kuwa watu ni 'wapumbavu'.
Mimi mwenyewe nilikuwa nashangaa ni lini nilikuwa na akiliWewe ndo low IQ,huna ujualo Zaid ya ujinga na upumbavu tu umekujaa kichwani
Jamaa hana mafunzo makubwa. Askari wanaonekana kukosa weledi na woga kupita kiasi.
Jamaa alikuwa open wamepiga risasi zaidi ya 20 wakimkosa kihasara jamaa ambaye yupo open na polisi wapo zaidi ya 10. Wanakimbia kimbia tu.
Ni udhaifu yeye ambaye hana mafunzo makubwa kuwapora askari smg na kuendelea kuwatandika kuua wanne. Mtu mmoja wamejibishana naye kwa nusu saa nzima. Wangekuwa watatu na wenye uwezo mkubwa?
Kwa woga wa polisi walishindwa hata kum netraulize wampate akiwa hai kwa mahojiano. Wamempiga risasi kaangua badala ya kufanya utaratibu wa kumpata hai wanaendelea kumpiga risasi mtu ambaye tayari isnt a threat. Ni woga. Woga wa hali ya juu.
Inaonekana waliendelea hata kuimiminia risasi maiti huko mbele wakiwa hawaamini kama jamaa amefariki.
Huyu alipaswa akamatwe mzima. Angepigwa risasi miguuni au sehemu ambayo isingemlazimisha kufa. Then wange mchukua kumtibu na kuja mhoji awaeleze kisa na mkasa.
Polisi acheni kuwa mnaonea tu raia wasio na silaha. Huyu jamaa ndo alikuwa kipimo chenu tosha.
Inatakiwa awepo Rais wa kaliba ya Hayati JPM kwa zaidi ya mara 5 yake ndipo tutaweza kuwa vizuri kiakili na uzalendo.Wabongo hawanaga akili kabisa.
Nawashangaa sana.
Badala ya kuangalia vya maana wanaanza kukosoa ujinga.
Wamesahau kuwa polisi hao hao ndio waliweka hali shwari Kibiti na mpkn mwa Mtwara.Wameshasahau polisi hao hao ndio walioleta hali ya utulivu nchini.
Wanashindwa kupima tukio limetokea kwa mazingira gani na nchi yetu imezoea hali gani.
Hapa ndipo naelewa kwann Tz tuna safari ndefu ya maendeleo.
Yaani injinia wa umeme kama hujawahi kuona short ya umeme,siku ikitokea unasema sijazoea hii kitu,lakini siumefunzwa kutatua hayo matatizo!Sikulaumu hayo ni mawazo yako ila tambua bunduki km AK47 au SMG hawashiki askari wa kawaida angalia yule jamaa alishika silaha ya aina gani na kawaida maaskari hutumia silaha ya aina gani.
Halafu angalia Tz ni nchi ya aina gani.
Hii nchi ilizoea amani na tulikaa muda mrefu hatuna bugudha leo hii mtu km yule atokee unadhani inakuaje?
Tulishazoea amani na utulivu.
Sikulaumu hayo ni mawazo yako ila tambua bunduki km AK47 au SMG hawashiki askari wa kawaida angalia yule jamaa alishika silaha ya aina gani na kawaida maaskari hutumia silaha ya aina gani.
Halafu angalia Tz ni nchi ya aina gani.
Hii nchi ilizoea amani na tulikaa muda mrefu hatuna bugudha leo hii mtu km yule atokee unadhani inakuaje?
Tulishazoea amani na utulivu.
nami nikubaliane na wewe, kuna mtu hapa ameandika page kirahisi tu "eti mtu mmoja auwa watu wanne kinondoni, basi"!!, yaani biala kuonesha hisia zozote kwamba kunaonekana uzembe wa askari wetu ?, kiukweli askari hawa wa ccm ni wazembe sana, wamezoea kuwavamia vijana wa chadema wakiwa hawana silaha na kufanyia mazoezi ya kurusha watu kichura, hiki ndio wanaweza, jamaa jana alionekana barabarani kweupe akiwa natembea bila hofu yeyote, lakini bado askari walikuwa wnahangaika kumvizia ili wamuattack, kama jamaa angekuwa amevaa bullet proof na angekuwa naujuzi wa kijeshi angewamaliza polisi wengi sana, na hawa ndio askari tulioambiwa na samia suluhu kwamba huwa hawezi kumkosa mtu kwa risasi, hivi risasi ngapi zilirushwa na askari jana na zinkaenda bure ??, lakini pia nimesikia kumbe wale polisi waliouawa walikuwa wamemuibia jamaa (muuaji) dhahabu zake huko chunya, kwa hiyo hapo dar alikuja kuwatafuta hao aliowaua, na akafanikiwa, hatuna polisi kwa kweliJamaa hana mafunzo makubwa. Askari wanaonekana kukosa weledi na woga kupita kiasi.
Jamaa alikuwa open wamepiga risasi zaidi ya 20 wakimkosa kihasara jamaa ambaye yupo open na polisi wapo zaidi ya 10. Wanakimbia kimbia tu.
Ni udhaifu yeye ambaye hana mafunzo makubwa kuwapora askari smg na kuendelea kuwatandika kuua wanne. Mtu mmoja wamejibishana naye kwa nusu saa nzima. Wangekuwa watatu na wenye uwezo mkubwa?
Kwa woga wa polisi walishindwa hata kum netraulize wampate akiwa hai kwa mahojiano. Wamempiga risasi kaangua badala ya kufanya utaratibu wa kumpata hai wanaendelea kumpiga risasi mtu ambaye tayari isnt a threat. Ni woga. Woga wa hali ya juu.
Inaonekana waliendelea hata kuimiminia risasi maiti huko mbele wakiwa hawaamini kama jamaa amefariki.
Huyu alipaswa akamatwe mzima. Angepigwa risasi miguuni au sehemu ambayo isingemlazimisha kufa. Then wange mchukua kumtibu na kuja mhoji awaeleze kisa na mkasa.
Polisi acheni kuwa mnaonea tu raia wasio na silaha. Huyu jamaa ndo alikuwa kipimo chenu tosha.
Unaelewa nini maana ya Jeshi. Jeshi sio mambo ya porojo na mzaha mzaha au kufanyia majaribio.tuwe serious.Hilo tukio ni tukio dogo sana ila kwasababu yajeshi letu kukosa utayari ndio maana unaona hali imekya hiyo.je ingekua ni tukio kubwa unadhani ingekuaje?.Tukio 1 tu limegeuza matukio mazuri maelfu na maelfu kuwa hakuna kitu na Askari kuonekana hawana maana.
Wapumzisheni Askari wetu jamani, siasa zenu za kipumbavu zisiwatoe hata ufahamu wa kuvukia barabara.
Watoto wa kisomali babu zao ni wawindaji wakubwa wanaokataga vibali kabisa vya kuwinda kwahio mitutu huwa wanajua kuitumia vizuri tu na wanafundishwa ujasiri na shabaha!Haya ni maoni yako ila tambua kuwa huyo jamaa alikuwa mobile siyo kuwa alikuwa kasimama tu. Ni lazima atakuwa na weledi mkubwa wa kutumia silaha hivyo lazima atakuwa na ana mafunzo kiasi ya kijeshi
Kweli kabisa r.i.p kadaMna tabia ya kujifanya mmekufa ndiyo maana hata maiti zenu zinapigwa risasi za matako.