Wamoena kacmchezo kubashiri VP, wameshindwa mlinda mwenzao hadi ameachia kitiWateuane tu maana teeth pori mnatulisha sana matango pori
Mkuu huyu Stargomenna Lawrence Tax umemtoa wapi? Eniwei yupo kwao Magu anakula viazi vitamu na watusi wenzieKatika umri wa miaka 66 kwa nafasi ya kuzindua majengo, semina, mikutano, warsha na makongamano sio mbaya sana!!
Nimemkumbuka huyu mama, yuko wapi siku hizi?
HahahaMbona wanadai Irene uwoya? Unaambiwa jopo la wana vitengo wamezingira makazi yake toka jana kuna ulinzi mkali. Wataalam waliobobea kwenye maswala ya siasa na utendaji wanampiga msasa.
Krish naye aonekani anapewa ulinzi wa kutosha
Ingia YouTube channel postcard ya Salma Dakota na mjenga ( M&S) LAST WEEK ALIFANYIWA MAHOJIANO NILIPATA KUMJUA VIZURI HUYO MAMAKatika umri wa miaka 66 kwa nafasi ya kuzindua majengo, semina, mikutano, warsha na makongamano sio mbaya sana!!
Nimemkumbuka huyu mama, yuko wapi siku hizi?
Huyu si alishiriki kuwamaliza Gen Z MO29? alikua anasifiwa sana akiwa SADC cha ajabu sijaona jipya lolote alipokuja Tanzania.Katika umri wa miaka 66 kwa nafasi ya kuzindua majengo, semina, mikutano, warsha na makongamano sio mbaya sana!!
Nimemkumbuka huyu mama, yuko wapi siku hizi?
Kipenzi chetuMbona wanadai Irene uwoya? Unaambiwa jopo la wana vitengo wamezingira makazi yake toka jana kuna ulinzi mkali. Wataalam waliobobea kwenye maswala ya siasa na utendaji wanampiga msasa.
Krish naye aonekani anapewa ulinzi wa kutosha
Hv yule ni pure kienyeji ama ana uchotara mseeIngia YouTube channel postcard ya Salma Dakota na mjenga ( M&S) LAST WEEK ALIFANYIWA MAHOJIANO NILIPATA KUMJUA VIZURI HUYO MAMA
yupo vizuri hazeekii ngozii laini anameremeta kama bintii wa 18 mpaka 25
Itafute kazungumza mengi kwa Sasa amejikita na taasisi yake ya KULEA WAZEE huko njia ya kwenda bagamoyo
Huyu Baba ake ni mzungu Tena kiongozi wa dini kabisa,yaani huyu na yule Mpare ambae ni mbunge wa Kibamba they got same history ya baba zaoHv yule ni pure kienyeji ama ana uchotara msee
Ooh kumbe, mbunge wa kibamba ni nan ?Huyu Baba ake ni mzungu Tena kiongozi wa dini kabisa,yaani huyu na yule Mpare ambae ni mbunge wa Kibamba they got same history ya baba zao
Kipenzi chetu
Ulipotea na kipenzi chetu aseeh 🤣
Katika umri wa miaka 66 kwa nafasi ya kuzindua majengo, semina, mikutano, warsha na makongamano sio mbaya sana!!
Nimemkumbuka huyu mama, yuko wapi siku hizi?
Mkuu mpaka hili nalo tukujibie?Ooh kumbe, mbunge wa kibamba ni nan ?
Simjui kweliMkuu mpaka hili nalo tukujibie?