Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
Na maovu yamezidi sana ukiingia huko Instagram utaona jinsi dada zetu wanachofanya ingia telegram laana tupu mashoga wameamua kujionesha wazi bila kificho ni halali kabisa mvua kushindwa kunyesha
Ukisoma kitabu Cha mfalme suleimani mithali inaonesha wazi watu wanaofanya maovu watu wasiotaka kusikiliza maonyo hunyimwa ufahamu na maarifa
Mithali 15:32-33
Ukisoma kitabu Cha mfalme suleimani mithali inaonesha wazi watu wanaofanya maovu watu wasiotaka kusikiliza maonyo hunyimwa ufahamu na maarifa
Mithali 15:32-33