Kibuzimzinga
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 209
- 246
Ahukumuye atahukumiwaNdio lipo neno katika biblia lisemalo mwenye haki akitawala nchi hufurahi!ila sidhani kama tumefika huko mama samia wa watu amejikuta ni rais by default je leo Mungu huyu mwenye upendo aanze kumwadhibu kwasababu ipi.