Hakuna Shortcut: Hii ndiyo nguzo ya maendeleo inayofanya Rwanda kuendelea kwa kasi kubwa na muda sio mrefu kuiacha Tanzania

Hakuna Shortcut: Hii ndiyo nguzo ya maendeleo inayofanya Rwanda kuendelea kwa kasi kubwa na muda sio mrefu kuiacha Tanzania

Rwanda wamejitahidi kupunguza rushwa, kutunza mazingira, kupandisha uchumi zaidi ya 7%, Rwanda imewekeza kwa vijana. Kwa maono yangu watafika mbali.
 
Rwanda wamejitahidi kupunguza rushwa, kutunza mazingira, kupandisha uchumi zaidi ya 7%, Rwanda imewekeza kwa vijana. Kwa maono yangu watafika mbali.
Na kwenye Teknolijia za kisasa wamewekeza sana hadi kwenye mitaala ya shuleni

Kwenye usafiri kuna magari mengi yanayotumia umeme
 
Hapa kwetu akili ni kuuza mali za serikali kwa bei ya kutupa,alafu anazunguka anaenda kuinunua huyo huyo aliyeuza,anajiona mjaaaaanja!

Tunakazi kubwa sana kama vijana kuinyorosha hii nchi!
 
Hapa kwetu akili ni kuuza mali za serikali kwa bei ya kutupa,alafu anazunguka anaenda kuinunua huyo huyo aliyeuza,anajiona mjaaaaanja!

Tunakazi kubwa sana kama vijana kuinyorosha hii nchi!
 
Hiyo ni ishara kwamba ili mwafrika afanye na atoe kinachohitajika, anatakiwa kuongozwa na viongozi korofi tena kwa mkono wa chuma.
Demokrasia tuwaachie wenyewe.
 
Eti who are you huku karembua macho na kuweka mikono kiunoni kama yuko uswahilini akisutana na akina Mwajuma ndala. Sasa akina who are you wamekaza kidogo tu tayari anauza akiba ya dhahabu. Badala abane matumizi kwa kupunguza ufisadi na matumizi ya hovyo serikalini ikiwemo kuachana na haya magari ya bei mbaya. Hajui kwamba hata akiuza hiyo akiba ya dhahabu hizo hela 50% zitakuja kupigwa na wajanja aliowaruhusu kula kwa urefu wa kamba zao halafu tunarudi kule kule? Hata kama ana D moja tu ya Kiswahili form IV, this is too much!

View attachment 3537673
Its just 2026.....i mean february!

Hadi ifike Hapo 2028 joto litakuwa juu sana huko Lumumba, pale ambapo hali ya maisha mtaani ishakuwa jiwe ,alafu watu washachoka to the maximum ,wao watake shupaza shingo kama oct.29...

Ngoja tuone kete zinavosogezwa!
 
Eti who are you huku karembua macho na kuweka mikono kiunoni kama yuko uswahilini akisutana na akina Mwajuma ndala. Sasa akina who are you wamekaza kidogo tu tayari anauza akiba ya dhahabu. Badala abane matumizi kwa kupunguza ufisadi na matumizi ya hovyo serikalini ikiwemo kuachana na haya magari ya bei mbaya. Hajui kwamba hata akiuza hiyo akiba ya dhahabu hizo hela 50% zitakuja kupigwa na wajanja aliowaruhusu kula kwa urefu wa kamba zao halafu tunarudi kule kule? Hata kama ana D moja tu ya Kiswahili form IV, this is too much!

View attachment 3537673
Je BOT walinunua kilo ngapi baada ya tamko hili?
 
Back
Top Bottom