Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,918
- 33,500
Huyo ni Magu ambae kwa mujibu wako alikuwa dhalimu!Magu pamoja na ulevi wake wa madaraka, uliwahi kumuona anasumbua wezi wenzake? Alisema gas yetu imeuzwa na wajanja, aliwafanya chochote hao wajanja zaidi ya kuamua kufuata umeme wa maji?
Vipi kwa huyu mama ambae siyo dhalimu kama yule dhalimu wako?