Screenshot_2024-01-09-16-43-00-1.png

Uharamia wa Malipo ya watu hawa ambao wamefanyiwa kwa zaidi ya miaka 20 , si wa kawaida , unaambiwa wameanza kufanyiwa Tathmini ya eneo lao miaka 28 iliyopita , kwa madai ya eneo hilo kutumika kwa upanuzi wa Uwanja wa Ndege .

July 2022 wakafanyiwa tena Tathmini nyingine na kwamba walipaswa kulipwa kabla ya octoba 2023 , lakini hadi leo kimya ! kumbukeni kwamba kwa kipindi chote hicho hawaruhusiwi kuendeleza maeneo yao , Maana yake hutakiwi kupaka rangi wala kujenga Choo kipya hata kama kilichopo kimefurika .
 
Watalipwa fidia tu, bilioni 147 ndogo sana, uwanja wa ndege kwa mwaka utaingiza mapato mara kumi ya hizo.

Halafu kama inapita muda fulani, kwa mujibu wa sheria ya uthamini, uthamini wa awali unafutwa
 
Watalipwa fidia tu, bilioni 147 ndogo sana, uwanja wa ndege kwa mwaka utaingiza mapato mara kumi ya hizo.

Halafu kama inapita muda fulani, kwa mujibu wa sheria ya uthamini, uthamini wa awali unafutwa
Walipeni basi
 
Sio hao tu ,kuna kijiji kinaitwa Nyatwali Bunda wao sasa ni mwaka wemefanyiwa Tathimini kulipwa ni hadithi Serekali inanyanyasa sana watu.
 

Uharamia wa Malipo ya watu hawa ambao wamefanyiwa kwa zaidi ya miaka 20 , si wa kawaida , unaambiwa wameanza kufanyiwa Tathmini ya eneo lao miaka 28 iliyopita , kwa madai ya eneo hilo kutumika kwa upanuzi wa Uwanja wa Ndege .

July 2022 wakafanyiwa tena Tathmini nyingine na kwamba walipaswa kulipwa kabla ya octoba 2023 , lakini hadi leo kimya ! kumbukeni kwamba kwa kipindi chote hicho hawaruhusiwi kuendeleza maeneo yao , Maana yake hutakiwi kupaka rangi wala kujenga Choo kipya hata kama kilichopo kimefurika .
Hata kama wanachelewa miaka 100 kulipwa siyo mbaya kama yule DIKTETA Mwendazake alivyowafanyoa wakazi wa Kimara- Kibaha ambapo aliputisha barabara ya njia 6 bila kuwafidia wakazi waliokuwapo.

Naamini hawa watu WATAFIDIWA kabla ya Juni 2024, na hicho ndicho kielelezo cha utawala bora chini ya Rais Samia
 
Hata kama wanachelewa miaka 100 kulipwa siyo mbaya kama yule DIKTETA Mwendazake alivyowafanyoa wakazi wa Kimara- Kibaha ambapo aliputisha barabara ya njia 6 bila kuwafidia wakazi waliokuwapo.

Naamini hawa watu WATAFIDIWA kabla ya Juni 2024, na hicho ndicho kielelezo cha utawala bora chini ya Rais Samia
Hizo porojo umetoa wapi ?
 
Back
Top Bottom