Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,940
- 218,756
Uharamia wa Malipo ya watu hawa ambao wamefanyiwa kwa zaidi ya miaka 20 , si wa kawaida , unaambiwa wameanza kufanyiwa Tathmini ya eneo lao miaka 28 iliyopita , kwa madai ya eneo hilo kutumika kwa upanuzi wa Uwanja wa Ndege .
July 2022 wakafanyiwa tena Tathmini nyingine na kwamba walipaswa kulipwa kabla ya octoba 2023 , lakini hadi leo kimya ! kumbukeni kwamba kwa kipindi chote hicho hawaruhusiwi kuendeleza maeneo yao , Maana yake hutakiwi kupaka rangi wala kujenga Choo kipya hata kama kilichopo kimefurika .