dndagula

JF-Expert Member
Jul 24, 2016
1,462
1,445
Ni kipindi cha miaka karibu 23 hivi tathmini ya kwa ajili ya uhamisho wa Kipunguni imekuwa ikifanyika bila mafanikio, hivi karibuni imefanyika tena na Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akathibitisha kuwa malipo yako kwenye hatua za mwisho, mwezi wa nane yatafanyika.

Na kuwa hakuna mkutano mwingine utafanyika baada ya mkutano aliouitisha na wananchi wa Kipunguni, ajabu kwa sasa kila mara wananchi wanaambia mara hiki mara kile ni kama kuna delaying tactics, tunaingia mwezi wa 9, je tathmini nyingine itafanyika baada ya miezi 6 kupita hadi sasa.

Mbona serikali inongeza mtanziko kwenye hili suala. Ebu jambo hili likamilishwe kama lilivyopangwa ili kuruhusu wananchi kufanya mambo mengine na Serikali nayo kuwekeza.
 
TANZANIA KWENYE KULIPIA FIDIA
UZISHI HUWA NI MWINGI SANA

ova
 
Tuliambiwa tutalipwa mwezi wa 10 lakini mpaka leo hola maana wengine tukawa tushatafuta mpka nyumba za kupanga maana tuliambiwa tutapewa 2m za kwenda kupnga but mpaka leo ziii.
 
Ni kipindi cha miaka karibu 23 hivi tathmini ya kwa ajili ya uhamisho wa Kipunguni imekuwa ikifanyika bila mafanikio, hivi karibuni imefanyika tena na Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akathibitisha kuwa malipo yako kwenye hatua za mwisho, mwezi wa nane yatafanyika.

Na kuwa hakuna mkutano mwingine utafanyika baada ya mkutano aliouitisha na wananchi wa Kipunguni, ajabu kwa sasa kila mara wananchi wanaambia mara hiki mara kile ni kama kuna delaying tactics, tunaingia mwezi wa 9, je tathmini nyingine itafanyika baada ya miezi 6 kupita hadi sasa.

Mbona serikali inongeza mtanziko kwenye hili suala. Ebu jambo hili likamilishwe kama lilivyopangwa ili kuruhusu wananchi kufanya mambo mengine na Serikali nayo kuwekeza.
KAMA SUALA LA DPW Limekufa usishangae hata nyinyi hizo fidia zitakuwa zimekufa pia. nchi hii mambo mengi yanafanyika kwa sili sana. Ule mkataba wa waarabu na bandari ulikuwa unaiingiza na Airport kiujanjaujanja ambapo kusingekuwa na longolongo hizi zinazoendelea pengine wangeshawalipa.
HIVYO KWA SASA DEAL IMESHABUMA LABDA WATAFUTE PLAN B
 
siku zinazidi kuyoyoma. Mbunge wetu naye tutaonana 2025 wazidi kuchafua tu hali ya hewa!
 
Ukonga au Segerea. Jerry silaa ni Mbunge wa Ukonga. Kipunguni iko Segerea
 
Ni kipindi cha miaka karibu 23 hivi tathmini ya kwa ajili ya uhamisho wa Kipunguni imekuwa ikifanyika bila mafanikio, hivi karibuni imefanyika tena na Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akathibitisha kuwa malipo yako kwenye hatua za mwisho, mwezi wa nane yatafanyika.

Na kuwa hakuna mkutano mwingine utafanyika baada ya mkutano aliouitisha na wananchi wa Kipunguni, ajabu kwa sasa kila mara wananchi wanaambia mara hiki mara kile ni kama kuna delaying tactics, tunaingia mwezi wa 9, je tathmini nyingine itafanyika baada ya miezi 6 kupita hadi sasa.

Mbona serikali inongeza mtanziko kwenye hili suala. Ebu jambo hili likamilishwe kama lilivyopangwa ili kuruhusu wananchi kufanya mambo mengine na Serikali nayo kuwekeza.
Imefikia hatua gani hii mkuu?
 
Mbunge amekuwa akipiga danadana tarehe za malipo hayo akianza kusema watalipwa mwezi wa saba, wa nane na mwezi wa tisa.

Mpaka tarehe ya leo hakuna dalili yoyote ya kufanyika malipo hayo, huku tathmini ya ardhi imeshafanyika kwa zaidi ya mwaka sasa, ila wana kipunguni hawajalipwa mpaka leo. Je ni lini watalipwa stahiki zao?

Ikumbukwe ucheleweshaji wa malipo hayo yanabeba interest ya asilimia sita!! kwa mujibu wa kanuni
 
Leo nimemsikiliza vizuri Mbunge Boni wa Segerea kuhusu malipo ya wananchi wa Kipunguni A baada ya tathmini na uhakiki kufanyika hivi karibuni.

Ni zaidi ya miezi 6 imepita bila malipo hayo kufanyika Taarifa za ndani zinasema Hazina ndiyo kikwazo.

Je nini kifanyike baada ya wizara kushindwa kulipa haki ya wana Kipunguni?
 
Siyo sawa inaonekana tatizo ni Hazina. itaathiri ushindi 2025
 
Kipunguni A(ukonga)Banana,baga...pembeni ya kambi ya jeshi kikosi cha anga 603KJ,hali ya hewa na maeneo yote ya jirani.

Tathmini ya kwanza ilifanyika mwaka 1997 na kurudiwa 2018 kama sikosei...nikiwa mkoani kikazi...

Mimi pia ni mhanga wa ucheleweshwaji wa hayo malipo.

Watoe mpunga...nipate kianzio
Kipunguni ya wapi? Mbona umeandika kama umekurupushwa
 
Kwako Waziri, nilikuwa nasikiliza majibu ya kwanini pesa za malipo ya kipunguni hazijalipwa. Nikujuze tu kuna upigaji wa kutosha maeneo kadhaa

1. Kuna watu ambao walishalipwa huko nyuma kwa kupewa viwanja, hawa baadhi yao wapo na waliendelea kuwepo naamini mnadili nao vizuri.

2. Katika hawa wapo ambao walihama mazima baada ya kusikia kuna malipo wakarudi kufwatilia viwanja vyao wakakuta vina majina ya watu wengine wametoka wapi wanajua. Mwenyekiti kipunguni huyu anajua uchafu wotee hapa mbaneni atawajibu

3. Wapigaji wa tatu ni wasimamizi wa marehemu mmiliki aliefaiki.

i. Hawa wengi wapo hawakuwahi kupeleka ama kufungua kesi mahakamani lakini wamepeleka majina yao na ac zao za bank malumbano ama migogoro uliosema haiesabiki.

4. Upigaji wa nne ni wa wasimamzi pia wahusika wa familia wengi mpaka sasa hawakuwahi kuonyeshwa kiasi cha pesa wanachipata. Pesa kamili wanazijua wasimamizi na hii imeongeza migogoto mingi isiyo na tija.

5.i.........
 
Back
Top Bottom