Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,723
Naona Leo umewaamulia ndugu zangu chelseaSasa viongozi Mimi nimeshakamata Jembe na Pauro/Chepe naanza kufukua Makaburi. Nitahitaji msaada [emoji23] [emoji23][emoji23]
Huyu alijitangazia ubingwa kwa Sarriball hatimae katoweka hajuilikani alipo.
😂😂😂😂🔨🔨🔨Tutaendelea kufukua baada ya mapumziko mafupi
Kuna watu humu waliweka hela kwamba chelsea anamaliza juu ya liverpool .Yani ile misifa ya Sarriball na Mistats ya Joginho tuliyokuwa tukisifiwa kila Siku sijui hata yameishia wapi!!!! [emoji23] [emoji23][emoji23]
Tukiamua kufukua makaburi ya mwezi July mpaka September hapatatosha hapa... 😀😀
Au tuanze kufukua Makaburi? Munasemaje wadau?
Mkuu nenda nao polepoleHichi naona kimegeuka kuwa kiungo cha ndimu na wala si mpira [emoji23] [emoji23][emoji23]
Hazard mara zote alikuwa akililia formation ya 4-3-3 ndio maana hakuwa akipatana na Mou pamoja na Conte ambao mearly wao ni wa kupaki mabasi. Nafikiri kwa Sarriball formation atafunga 30+ goals
Hatimaye chelsea inaongoza league sasa
Wachambuzi uchwara hawakuiweka hata kwenye top 4 View attachment 867384
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Nashauri tupewe tu kombe ligi ianze tena upya
Vp MKUU?Hazard mara zote alikuwa akililia formation ya 4-3-3 ndio maana hakuwa akipatana na Mou pamoja na Conte ambao mearly wao ni wa kupaki mabasi. Nafikiri kwa Sarriball formation atafunga 30+ goals
Naikumbuka hii post yako chief!! Uliona mbali30+ goals?? 😀😀😀
Fans wengine bhana!!! Hivi unadhani Penalty Mutapata Kwa Kila Mchezo?
VP MKUUMore to Come........Mengi yanakuja......Rudi nyumbani kijana Kumenoga, sasa hivi ni pilau nyama kila uchao.......
![]()
Pia cheki huyu jamaa, si mimi ila ni takwimu zinaongea......
View attachment 869920
Soma hapa chini majibu ya Sarri alipohojiwa na Mwandishi wetu kuhusu Jorginho......
Jorginho ni zaidi ya mpikaji pale dimbani, anatoa amri kwa wachezaji wenzake wacheze vipi, Ni Mwanaume wa shoka kwa Sarri, anafundisha namna ya uchezaji kwa mfumo mpya wa kushambulia kwa kasi wakiwa wanamiliki mpira kwa kiasi kikubwa hasa wakishavuka mstari wa kati (Pressing....) Huu ni mfumo mpya na mtamu kabisa ukiringanisha na ule wa Conte pamoja na Jose ambao timu ilishinda ligi kwa kupaki basi, lakini huu ni tofauti kabisa.
Sarri anaendelea kusema kwamba " Ni kucheza mpira na si kukimbia na mtu - Jorginho analijua hilo zaidi ya mtu yeyote na ndiyo maana akienda ku-press mbele anajua kama wakipoteza mpira awe wapi kwa wakati gani ili kuwalinda mabeki wake 4, hilo sina wasiwasi nalo kabisa
More to Come..................This is Chelsea...... Raha tupu kila weekend......Rudi nyumbani kumenoga....
Vp chiefChelsea wnacheza mpira wa kuburudisha.
Vp chiefTimu inaimprove taratibu
Ahaha mkuu umetishaTungetangaza ubingwa chrismas
Mkuu
Sawa mkuuUbingwa kwa chelsea ni muhimu
Hilo soka zuri bila ubingwa halina maana kwa team kubwa kama chelsea
E&K
Sawa mkuu
Hatimaye chelsea inaongoza league sasa
Wachambuzi uchwara hawakuiweka hata kwenye top 4 View attachment 867384
Sent using simu mbovu