Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tukiingia Top 4 unikumbushe nikupe 1,000,000/= cash, kwa mm nabii wa akili zaidi hatuna timu tena pale.
Chelsea kuingia top 4 ilikuwa ni bwerere lakini sasa baada ya kipigo cha jana inabidi wafight tena fight hasa ambayo nina wasiwasi hasa kama Kocha ataendelea kurelay kwa huduma ya Alonso na pia asipompa muda wa kutosha vijana wadogo wenye pumzi kama akina Odoi na Christiansen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea Vs Brighton and Hove Albion on Wednesday 3 April with kick-off at 7.45pm.
Kumbukumbu tu tuliwafunga hawa nyumbani kwao 2-1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom