Chelsea imeacha misingi yake iliyoiasisi
Chelsea inaelekea shimoni,Chelsea inarud ilipotoka
Mafanikio ya Chelsea mkubali mkatae yalijengwa kwa falsafa za mou, timu ikiyokuwa inakaba sana, na kupata matokeo,
Hata mou alipondoka, makocha waliokuja waliendeleza falsafa hizo hizo, ,hadi kocha was mwisho Antonio conte alipokuja mwanzo alifeli, ila alipojirudi na kuanza kutembea na soka la Chelsea la kukaba, akitumia mfumo ambao umekuwa maarufu na naupenda sana wa 3-4-3 au 3-4-2-1
Huku kina Alonso ,mosses wakifanya vzr, mlipomfukuza na kuleta huyu sarr anayekazana na total football,huku akileta wachezaj lain eneo la midfield, hapo ndipo anaiua Chelsea na kuirudisha Chelsea ile kabla ya 2004,
Chelsea inahitaji makocha wanaondena na falsafa alizoziasisi mou , kocha kama Diego Simeon , Conte , Nuno espirito Santo, na type kama hawa wanaolijua soka la kukaba na kupata matokeo,
Zaid ya hapo naiona Chelsea ikiporomoka ,
Sent using
Jamii Forums mobile app