BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,945
- 11,797
Save hii hazard hawez chukua kiatuManeno ya mkosaji
Save hii hazard hawez chukua kiatuManeno ya mkosaji
Premier league statisticsView attachment 869172
Save hii hazard hawez chukua kiatu
Haha mkuu huyu trh 29Mkuu Usiwabishe Sasahivi Watakuvamia Kwa Maneno..
Subiri Kuanzia November Wakati Washona Nyavu Kina (Kane, Aguero, Salah Na Lukaku) Wakishakaa Kwenye Nafasi Zao ndiyo uje Uwaulize Mr. Mapenalty Kaishia Wapi?
Hawa Ni Wepesi Wa Kusahau Kwani Hata Kante alipobahatisha goli Kwenye Mechi Ya Kwanza Walimtangazia Kufunga Magoli Mengi nikawaambia Hana uwezo Huo basi Walikuwa Wakali hatimae Sasahivi Wameufyata.
Hazard MapenatiUnapoongelea takwimu jaribu na kuweka dakika walizotumia uwanjani pia.
Hazard mechi 5 alizocheza.
15+29+90+90+90=?
Mechi ya kwanza aliingia dakika ya 75
Mechi ya pili amengia dakika ya 61.
Magoli aliyofunga 3 direct from play points 2 penalties
Mane mechi 5 alizocheza.
90+90+90+90+90=?
Magoli aliyofunga 4 all from play points.
Linganisha na hili pia.
Premier league statisticsView attachment 869178
Mkuu Usiwabishe Sasahivi Watakuvamia Kwa Maneno..
Subiri Kuanzia November Wakati Washona Nyavu Kina (Kane, Aguero, Salah Na Lukaku) Wakishakaa Kwenye Nafasi Zao ndiyo uje Uwaulize Mr. Mapenalty Kaishia Wapi?
Hawa Ni Wepesi Wa Kusahau Kwani Hata Kante alipobahatisha goli Kwenye Mechi Ya Kwanza Walimtangazia Kufunga Magoli Mengi nikawaambia Hana uwezo Huo basi Walikuwa Wakali hatimae Sasahivi Wameufyata.
Hazard Mapenati
Hana jipya hadi penati
Haha mkuu huyu trh 29
Anaugeni mkali sana
C kingne bal ni kichapo tu huyo hazard nawahakikishia hatotembea kwa amani
Wasave date
Y
N
W
A
Mkuu Usiwabishe Sasahivi Watakuvamia Kwa Maneno..
Subiri Kuanzia November Wakati Washona Nyavu Kina (Kane, Aguero, Salah Na Lukaku) Wakishakaa Kwenye Nafasi Zao ndiyo uje Uwaulize Mr. Mapenalty Kaishia Wapi?
Hawa Ni Wepesi Wa Kusahau Kwani Hata Kante alipobahatisha goli Kwenye Mechi Ya Kwanza Walimtangazia Kufunga Magoli Mengi nikawaambia Hana uwezo Huo basi Walikuwa Wakali hatimae Sasahivi Wameufyata.
Save hii hazard hawez chukua kiatu
Mo Michu msimu huu atashindana magoli na beki letu Alonso , one season wonder
Mkuu kwanini upate tabu kubishana na hizi shabiki zenye mawazo ya kizamani? Wewe wakubalie tu kuwa yule mane ni bora kuliko Hazard kwa sababu yeye "ajafunga kwa penati" yani ndo point zao wanazojaribu kuja nazo ili kuficha uzaifu wao. Kwa mkuu wakubalie tuHakuna kazi rahisi isiyo na mawazo kwa mfungaji kama kufunga kawaida
Penalty mfungaji analiona goli dogo na goalkiper anajipa asilimia nyingi tu za kuudaka
Hazard MAPENATI ?
Sio point ya mjadala wetu
Kama Torres ambaye leo ni makapi kama angebaki Liverpool angestaafu bila kubeba kombe lolote lile ..hata europa asingebeba kabisa.Haya makapi yalibeba uefa
Usipanic mapema namna hiiKiatu gani? mapema tu hivi mmeshaanza kuacha laana zenu? Hahaha yani hamjiamini kabisa.
Ok icho "kiatu" atachukua mane.
Usifikiri Harzard anafunga magoli ili achukue kiatu, kinachotakiwa ni ushindi kwanza. Ilo la kiatu ni suala jingine kabisa.
Hivyo jiamini mkuu. Usipate tabu na Harzard
Mo Michu mumpe hata mapenati na yenye atoe gundu la sivyo January atakimbilia China ,one season wonderHazard Mapenati
Hana jipya hadi penati
Haha niogope mla ugoro#Sarriball_isComing huogopi?