Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,457
- 27,104
Kuna watu humu waliweka hela kwamba chelsea anamaliza juu ya liverpool .
Sent using simu mbovu
Yani umenikumbusha ndiyo namalizia kufukua hili kaburi.
↓↓
Kuna watu mnapenda kujifariji.
I swear to you...Liverpool ikimaliza huu msimu juu yetu kwa njia yoyote utakayoamua..nitakupatia Laki tano kamili.
Sihitaji chochote kwako..ni imani niliyonayo juu ya hii klabu aisee.
####
Hehee.. Mkuu na mimi najazia hapo. Naongeza kilo mbili na nusu iwapo nyinyi mtamaliza juu yetu.
Hamba mbavu wala ubavu huo. Namaanisha nisemacho
####
Nadhani wanahiari yao kuganya Muamala Muda huu au Wasubiri May. Si waleweka wenyewe ahadi za Mihemko!