Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jamani bado ndo kwanza mechi ya 3 hivi vitimu vidogo ni vibayaaaaa
Na yule boya wa bei ghali pale golini
 
Kepa ana tatizo moja tu la kutojua kuuficha Mpira
Anatema sana mipira
Ila uzuri wake ni kwenye save hapa ndipo ubora wake ulipo
Na jinsi beki yetu inavyokimbilia mbele atatusaidia

E&K
 
Chelsea mwaka huu hatuna mpango na ubingwa bali tuna mpango wa kutandaza kandanda safi. Ubingwa ukitokea mwishoni tutashukuru Mungu
 
Nimeambiwa mmepata draw ngumu sana Yuropa
Kundi la KIFO
Chelsea(England)
Kwame Nkrumah(Ukraine)
Miguu ya Bata FC(Cyprus)
Haj Manara SC(Lithunia)
Prediction:Chelsea atasonga mbele kwenda PLAYOFFS lkn kwa mbinde sana
 
Tushindwe wenyewe...

Screenshot_20180831-153545_The%205th%20Stand.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom