Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ndiyo Klopp anatengeneza Timu Na Kila Mtu anaona Kutokana na Utafauti Wa Timu aliyoikuta na Anavyoibadilisha kidogokidogo that is why Hukutii Bodi ya Timu Kumpressurize Hata kama hana Kombe.

Ni tofauti na Sarri ambaye Kakuta Timu ipo imekamilika Yeye atumie tu bila ya Matengenezo Bali anaboresha tu.
Je, hiyo aliyoikuta Sarri imekamilika vipi kulingana na mfumo wake...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu jamaa ni master
images(7).jpg
Screenshot_20180826-212021.jpg


E&K
 
inategemeana na aina ya wachezaji-wachezaji aliwakuta klop ni wa kawaida sana hivyo lazima kumuchukua muda mrefu kujenga timu tofauti na wachezaji aliwo wakuta sari chelsea ambo wengi ni wa kiwango cha juu
Kiwango cha juu ndio. Lakini kocha alotoka alikua anatumia mfumo gani na huyu wa sasa anataka kutumia mfumo gani. So kwa namna moja au nyingine haiwezi kuwa rahisi kwa wachezaji hata kama wako bora kiasi gani. Kikubwa ni mfumo yan namna ya uchezaji tena baadhi ya majukumu yanabadilika kwa wachezaji. Mfano Kante katoka CDM kapanda juu zaidi. Kwa hiyo bado si rahisi kuadapt huo mfumo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulipofikisha pass 670 mbele ya arsenal basi nilijua Sarri ball imeanza kufanya kazi
Arsenal walikuwa na pass 300 na kitu hivi

E&K
Si ndio mkuu mpira wa Sarri umeanza kwiva kwa wachezaji lakini naona kama tunafungika kirahisi sana.

Sarri anatakiwa kujenga defense yenye nguvu kuzuia kufungwa kirahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom