Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hazard
1538240741695.gif
1538240752107.gif
 
I changed my jf pass to E.Hazard, and they said the password is too strong
 
Mkuu Mentor huna excuse yoyote hapa ila ukubali Points 1 ya ugenini Ni advantage Kwetu.
Ukweli Ni kwamba You've lost the gamble.
 
Na Jengine Mkuu Mentor iangalieni tena Sarriball yenu..

Kwama Wewe Ni Mshabiki Wa Chelsea tu basi Leo Ni sawa!!!

Lakini Kama wewe Ni Mshabiki Wa Mpira Kabla Ya Chelsea basi kuna Weakness Kubwa Sana Katika Mfumo Wenu na Stats Zinaonesha Kuwa Leo Haukufunction Klopp Kafanikiwa Kuutibua..

Sasa Liverpool si timu inayopress Marahii na imefanikiwa Kuudhibiti Sarriball, sasa Siku Mutakayokutana na Timu inayomiliki (Press) Mpira sijui itakuwaje!!!
 
Kama unakuja kushangilia point moja huku wewe ni MPUMBAVU , nilifikiri utaendelea na msemo wako wa "someone will suffer ".. Stupid ..
 
Nimemsaidia yule jamaa anaeletaga stats za mechi kutoka sources tofauti
Hio sarriball wapigieni mafamba wengine
Sarriball ya nyoko!!!!
Screenshot_20180929-213420.jpg
Screenshot_20180929-213328.jpg
Screenshot_20180929-213256.jpg
Screenshot_20180929-213759.jpg
 
Sarriball anajua kufundisha mpira!
Leo ilikuwa ni EPL sio kombe la BATA,huwezi mfunga Liverpool huyu akiwa kamili hata tuchezee Mvomero
Ilikuwa mechi nzuri sana lkn mmekutana na Liverpool yenye benchi zuri
1-1 ni fair result
Ingieni mitaani kushangilia ushindi wenu
Mentor
Ntuzu
kalou
Ollachuga Oc
hazard cfc
 
Na Jengine niliwaambia Southern Highland na Mentor Kuwa Msimu Huu Chelsea is all about Hazard Kuwa Yuko Katika Peak Yake Ya Soka lakini Safu Ya Kina Willian, Giroud na Moratta haina Madhara Kwa Timu, Mulinibishia!
Sasa leo Kama Mutazungumza Kisoka nadhani Mumeconfirm.. Kama Mutazunhumzia Kiushabiki basi Mutakataa..
 
Na Jengine Mkuu Mentor iangalieni tena Sarriball yenu..

Kwama Wewe Ni Mshabiki Wa Chelsea tu basi Leo Ni sawa!!!

Lakini Kama wewe Ni Mshabiki Wa Mpira Kabla Ya Chelsea basi kuna Weakness Kubwa Sana Katika Mfumo Wenu na Stats Zinaonesha Kuwa Leo Haukufunction Klopp Kafanikiwa Kuutibua..

Sasa Liverpool si timu inayopress Marahii na imefanikiwa Kuudhibiti Sarriball, sasa Siku Mutakayokutana na Timu inayomiliki (Press) Mpira sijui itakuwaje!!!

Kipindi cha kwanza hamna mlichocheza, na mmeanza kuonekana dk y 70+ ambapo ni kawaida kwa timu iliyopoteza mchezo, hata mechi ya juzi mlipoteana hivyo hivyo
 
Na Jengine niliwaambia Southern Highland na Mentor Kuwa Msimu Huu Chelsea is all about Hazard Kuwa Yuko Katika Peak Yake Ya Soka lakini Safu Ya Kina Willian, Giroud na Moratta haina Madhara Kwa Timu, Mulinibishia!
Sasa leo Kama Mutazungumza Kisoka nadhani Mumeconfirm.. Kama Mutazunhumzia Kiushabiki basi Mutakataa..

Msimi uliopita ulikua ni Liva ya Salaha, sioni shida hata hii ikiwa Chelsea ya Hazard
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom