Barca - La LigaSante kwa kutukubali bila shaka wewe ni Arsenal msiopenda makuu kama man3

. Arsenal ni wa kuwaonea huruma tu wasijiueFollow this link to join my WhatsApp group: THE BLUES TILL WE DIE(CFC)Samahani wakuu naomba link yakujiunga na group lolote la Chelsea WhatsApp.
mambo ya sarrismo Liverpool wanajua kuchonga sana, Hivi wakibeba ndoo watakuwaje?
Natamani Chelsea wawasiribe michezo yote mpaka waseme ndio mzee huku wakiwa wamepiga magoti
Hazard mara zote alikuwa akililia formation ya 4-3-3 ndio maana hakuwa akipatana na Mou pamoja na Conte ambao mearly wao ni wa kupaki mabasi. Nafikiri kwa Sarriball formation atafunga 30+ goals
Hivi Munaonaje Kulazimisha Upinzani Usiokuwepo?
Liverpool haijawahi na Wala Haitowahi Kuwa na Mpinzani Chelsea....
Our True Rival Ni Man United na Si Nyie..
Nyie Mpinzani wenu ni Fulham na Spurs...
Musiforce Kuandika Historian Ya Upinzani isiyokuwepo Wakati Timu Yenyewe imeanzishwa 2004.
Na Ninawashangaa Kukomalia Kushindana na Liverpool Wakati Ligi in Timu 20.
Sisi hatushindani na Nyinyi basi mukae Mukijua Kwamba Tunafocus game after game huku Tukimuangalia Kwa Karibu Man City na Sio Nyinyi.
Haha nyumbu wa chelshit mnafurahisha mtakufa 3 nakuhakikishiaHahaha it's funny when you stoop this low.
We don't keep permanent rivals. You were our rivals kwa sababu mlikuwa mnashikilia nafasi yetu hapo juu. Na rivalry yetu na nyie itaisha mwisho wa mwezi tutakapokuwa tumechukua point zetu.
Msimu huu Manchester city ni our season rivals mpaka tutakapowavua ubingwa.
Sijui wewe unatazamaje rivalry.
Ninachojua Man u imebaki jina tu na Liverpool pia imebaki jinaHivi Munaonaje Kulazimisha Upinzani Usiokuwepo?
Liverpool haijawahi na Wala Haitowahi Kuwa na Mpinzani Chelsea....
Our True Rival Ni Man United na Si Nyie..
Nyie Mpinzani wenu ni Fulham na Spurs...
Musiforce Kuandika Historian Ya Upinzani isiyokuwepo Wakati Timu Yenyewe imeanzishwa 2004.
Na Ninawashangaa Kukomalia Kushindana na Liverpool Wakati Ligi in Timu 20.
Sisi hatushindani na Nyinyi basi mukae Mukijua Kwamba Tunafocus game after game huku Tukimuangalia Kwa Karibu Man City na Sio Nyinyi.
Keep on blubbering...Haha nyumbu wa chelshit mnafurahisha mtakufa 3 nakuhakikishia
Save dateKeep on blubbering...
Hahaha it's funny when you stoop this low.
We don't keep permanent rivals. You were our rivals kwa sababu mlikuwa mnashikilia nafasi yetu hapo juu. Na rivalry yetu na nyie itaisha mwisho wa mwezi tutakapokuwa tumechukua point zetu.
Msimu huu Manchester city ni our season rivals mpaka tutakapowavua ubingwa.
Sijui wewe unatazamaje rivalry.