Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

<p>
Mi mtu wa 'mke mmoja mme mmoja'..sina timu EPL.
</p>
<p>&nbsp;</p>
Nimekusoma mkubwa. Haya EPL huna timu, sawa, wap unatimu na n timu gani?. Si mbaya tukaijua siku ukishinda tukupongeza, say t, hata kama n Boca Juniors!
BTW hope hata EPL una vi element vya katimu flan, vp ww the Toffies nn?
 
<p></p>
<p>&nbsp;</p>
Nimekusoma mkubwa. Haya EPL huna timu, sawa, wap unatimu na n timu gani?. Si mbaya tukaijua siku ukishinda tukupongeza, say t, hata kama n Boca Juniors!
BTW hope hata EPL una vi element vya katimu flan, vp ww the Toffies nn?

Hana lolote huyo timu yake ndio hii hii ya uchochoroni sababu haachi kulialia. Na mwaka huu watakoma ubishi ... ..... ....

Khe khe kheeeeeeeeeeeee, Kama huna timu pilipili iko England inakuwashia nini? khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
...watani poleni sana.
Kesho najua mnapambana na kisiki matata kingine kisichotabirika...aka 'Mbwa Mwitu', aka Wolves!...
sitakuwa mtandaoni hiyo kesho, ila nawaombea sana mwisho mwema. 😛ray2: Amen, amen!

bike-accident.jpg


...enjoy the Downfall before it lasts>>> acceleration due to gravitational attraction of massive bodies...:whoo:
 
Napita tu kuwasabah jaman..
Na ndungu yangu Ab Tchaz (Supa Mod), upo?, ni-PM basi...!
 
Half time - tumeshapigwa moja bila.

Selling / Allowing them to go ( Free transfers ) Ballack, Deco, John Cole, Bennetti and Carvalho without classic replacements was bad decision ever.
 
Half time - tumeshapigwa moja bila.

Selling / Allowing them to go ( Free transfers ) Ballack, Deco, John Cole, Bennetti and Carvalho without classic replacements was bad decision ever.


Hali yetu inaendelea kuwa mbaya, tumefungwa Wolve 1-0. Tumekosa magoli mengi ya wazi, especially Kalou kapoteza nafasi nzuri mbili. Itakuwa ngumu sana kutetea ubingwa msimu, wachezaji wanaonekan kama wamechoka na confidence iko chini.
 
Half time - tumeshapigwa moja bila.

Selling / Allowing them to go ( Free transfers ) Ballack, Deco, John Cole, Bennetti and Carvalho without classic replacements was bad decision ever.

Yeah, kikosi chetu ni kidogo sana inabidi kununua kama tunataka kufanya vizuri....au Carlo awape madogo nafasi ili watoe ushindani kwa wazoefu.
 
Hahahahaha timu inaboa sana sijui tatizoi ni Carlo ama Ray Wilkins effecto ?
 
Noumer!! Poleni kwa hivi vichapo... Wachezaji wamechoka ama wameamua kugoma kwa sababu ya kutimuliwa kwa wilkins?
 
Hahahahaha timu inaboa sana sijui tatizoi ni Carlo ama Ray Wilkins effecto ?
Carlo atakuwa ni scapegoat na Ray wengine watasema hivo ingawa naamini hata Ray angebaki jahazi lenu lilikuwa na muelekeo wa kuzama kutokana na kwamba the writing was already on the wall, kwa kweli sababu kuu ni wachezaji muhimu (key players) Lampard,Terry, Drogba, Anelka etc umri umeenda kidogo na akina Abramovich hawakuwa na plan nzuri ya tackle hii problem, 2 seasons ago ilitakiwa mu-introduce new bloods polepole, at least kijana mmoja kwa season ili waje ku-cover nafasi za hawa wakongwe, matokeo yake hawa wazee munawanalazimisha kucheza 20-30 games a season ambapo sio kazi rahisi.
 
Hahahahaha timu inaboa sana sijui tatizoi ni Carlo ama Ray Wilkins effecto ?



Pamoja na kwamba kweli tuna kikosi kidogo, lakini nafikiri pia kuna kitu kwenye vichwa vya wachezaji maana hawaonekani kujituma kama kawaida yao na wanapoteza nafasi na wazi na mipira....in short hawako uwanjani.
 
Noumer!! Poleni kwa hivi vichapo... Wachezaji wamechoka ama wameamua kugoma kwa sababu ya kutimuliwa kwa wilkins?


Ngumu kusema nini tatizo hasa mkuu. Anyway, kombe tumewaachia rasmi leo mshindwe wenyewe.
 
Carlo atakuwa ni scapegoat na Ray wengine watasema hivo ingawa naamini hata Ray angebaki jahazi lenu lilikuwa na muelekeo wa kuzama kutokana na kwamba the writing was already on the wall, kwa kweli sababu kuu ni wachezaji muhimu (key players) Lampard,Terry, Drogba, Anelka etc umri umeenda kidogo na akina Abramovich hawakuwa na plan nzuri ya tackle hii problem, 2 seasons ago ilitakiwa mu-introduce new bloods polepole, at least kijana mmoja kwa season ili waje ku-cover nafasi za hawa wakongwe, matokeo yake hawa wazee munawanalazimisha kucheza 20-30 games a season ambapo sio kazi rahisi.

Good point there mate. Timu yetu ina 11 wanaonza kila mechi, na ukizingatia wengi wao walikuwa World Cup hivyo tulitakiwa kuwa na replacement ya kina Ballack, Joe Cole, Deco, Belleti na Carvalho.
 
Pamoja na kwamba kweli tuna kikosi kidogo, lakini nafikiri pia kuna kitu kwenye vichwa vya wachezaji maana hawaonekani kujituma kama kawaida yao na wanapoteza nafasi na wazi na mipira....in short hawako uwanjani.
Sababu 2 ya kwanza uchofu kutokana na mtiririko wa mechi kunako desemba/Januari, ni kipindi kigumu kutokana na weather condition plus umri na kucheza something like 3 games in a week when you are over 30, the physical demanding in Premier league inakuwa just impossible to perform on top of your game consistently la pili ni kwa vile wamepoteza game mfululizo confidence is at all time low kwa sasa which result in poor performance.
 
Khe khe khe ati wachungaji? Wachungaji my a@s@sO Umafia umekwisha waharibu huoni jinsi walivyobebwa na yule refa Mike? na safari hii tutawaona maana Abraham o vich keshawambia fweza kwishnei. Chijui watakimbilia wapi?
Uliwaambia mapema kabisa

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom