Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tatizo ni mmiliki wa club, anafanya maamuzi ya ajabu ajabu - yes hili la kumtimua Ray ndilo mzimu hasa wa Chelsea kupoteza ubingwa wake.
Bado sijafikia hatua ya kuhoji uwezo wa Carlo, nafikiri ni huyu Roman anawachanganya wachezaji - tena mkiangalia alikuwa na utaratibu wa kutembelea wachezaji kwenye mazoezi na kuhudhuria games za nyumbani ila hajafanya hivyo kwa game zaidi ya 15 sasa sijui ana mawazo gani?

Mi nafikiri angejitokeza na kuongea na wachezaji na kuwapa moyo - kinachokosekana hapo si tactical bali ni ari ya ushindi haipo kabisa.

Chelsea boss Ancelotti: My players still want me | The Sun |Sport|Football

...aaah, kama wachezaji ndilo wanalodekea, basi hawapo sawa vichwani, mijitu mizima 'idekezwe' mpaka lini?...Gavana wa Chukotka - Abramovich sasa hivi kaelekeza nguvu zake kwenye World Cup 2018!

Chelsea ni utumbo mtupu na sioni aibu kukiri! Ni kichwa cha Mwendawazimu kama Tanzania ilivyo!

hapana mchungaji, ni kipindi cha mpito tu hiki, najua mta recorver siku si nyingi. Kila team inapitia phase hii...ingawa SAF sijui ana kizizi yule?...sasa hivi wachezaji wa Manure wana morale ya kumaliza ligi bila kupoteza mchezo waisawazishe record ya Arsenal!

Things will turn arround very soon, i still have a belief on Chelsea fc though we have given away our premier championship.

Ni kweli inasikitisha sana hasa hii game ya juzi na Wolves sikuamini kilichotokea. inawezekena game ya kesho kutwa na Ipswitch ( FA CUP) ikawa turning point yetu, I still have a belief on carlo and players.

Players also need to be at their top level, we need 100% perfomance from Essien, Lampard, Drogba na Peter Cech to start winning games again.

...Tangu World Cup ya mavuvuzela kule bondeni, Michael Essien hajarudia tena kiwango chake cha uchezaji.
Maneno iko kwa Peter Cech, kuna kipindi alikuwa top goalie kwenye EPL, these day amekuwa uchochoroooo...ehe he he... Didier Drogba Malaria ndio imekuwa sababu!
au mnam miss sana Carvalho?...mbona mlianza ligi kwa vishindo tu? ...nini kimewatokea hamuwezi tena kufunga zile 'sita kwa sita?'
 
A8484150-18.gif
 

Attachments

  • A8484150-18.gif
    A8484150-18.gif
    56.6 KB · Views: 137
Tatizo Chelsea ina wachezaji wachache tangu hata enzi za Mourinho(labda ni sera ya klabu) tatizo wakiumia hakuna replacement wakati wengine wana recover,kipindi kile walikuwa na players ambao wanaweza kureplace ikitokea majeruhi Kalou,Ramires,Bosigwa,Malouda +vitoto wameshidwa kufanya hiyo kazi .Jefrey Bruma ndio angepelekwa kwa mkopo kuna dogo anaitwa Michael Manciene alistahili kubaki kusaidia defence sababu yeye ana uzoefu na EPL.Issue nyingine bbada ya kumtimua Wilkins walitakiwa walete mtu anayekubalika na wachezaji zaidi na (Gianfranco Zola) alikuwa chaguo sahihi kuliko huyo mnigeria
 
Belo napingana na wewe, msimu uliopita chelsea likuwa na viungo na mabeki wengi, kifupi ilikuwa na kikosi kimekamilika. kuondoka kwa Ballack, Bennetti, Carvalho, John Cole na Deco ndiyo tatizo kuu la msimu huu. kumbuka Bennetti alikuwa cover nzuri sana kwenye midfield ingawa alicheza vuzuri nafasi ya beki ya kulia.

Ushindi katika game za kwanza zikatulemaza vichwa, kumbukeni mashindano yote ya msimu yana games zaidi ya 50. Huwezi kuondoa qualities za wachezaji kama hawa kwa pamoja then ukajiona huna tatizo. na hili ndilo linatutafuna. ndiyo limelipuka kipindi hiki na sisi tunaofuatilia Chelsea kwa karibu tulijua tu kwamba Carlo atafika atakwama na hawa madogo ambao ndiyo tegemeo lake. Chelsea Fc lazima wakubali kosa hili na lazima wanunue central defender mmoja na mid mmoja kwenye hii Jan window.
 
duh mzee wa kheheheeeeeee hauachi vijana wapumue? Bora mi sijasema ninapenda timu gani :lol:


Nasikia Arsenal walisawazisha dakika ya 90 kwa sababu referee mnoko ... .... alikwisha chukua mpunga kutoka kwa master Abraham o Vich ili awakwaze Gunners lakini ilibidi atoe tu maana ya kwanza alibania khe khe kheee kutokana na hali hiyo na mashabiki wa daraja la makuti wakiombea kipyenga cha mwisho ilibidi wavunje screen za TV waliyokuwa wanaangalia khe khe khe .......
 
article-1345085-0CADD75B000005DC-225_634x360.jpg


Protest: Banners outside Chelsea's training ground demanding
both manager Carlo Ancelotti and owner Roman Abromovitch
leave the club and another suggesting that none of the players
are fit to wear the shirt


article-1345085-0CA871F2000005DC-456_634x413.jpg

What's going on: Chelsea's alarming slump continued in mid-week,
losing to relegation candidates Wolves


Chacha njomba chitafika kweli kwa hali hii?



BTW: habari za uhakika kabisa kutoka Kibera zinasema Mungiki Brother ataingia kwa fujo hapa siku Arsenal watakapopoteza mchezo lini ... ..... hafahamu ataacha kabisa kuwa Invisible kama yule peasant au wale mapadri bandia licha ya kimbunga cha Elnino.


Khe khe kheeee follow the bee .... .... Dua la kuku halimpati Mwewe khe khe khe.
 
Belo napingana na wewe, msimu uliopita chelsea likuwa na viungo na mabeki wengi, kifupi ilikuwa na kikosi kimekamilika. kuondoka kwa Ballack, Bennetti, Carvalho, John Cole na Deco ndiyo tatizo kuu la msimu huu. kumbuka Bennetti alikuwa cover nzuri sana kwenye midfield ingawa alicheza vuzuri nafasi ya beki ya kulia.

Ushindi katika game za kwanza zikatulemaza vichwa, kumbukeni mashindano yote ya msimu yana games zaidi ya 50. Huwezi kuondoa qualities za wachezaji kama hawa kwa pamoja then ukajiona huna tatizo. na hili ndilo linatutafuna. ndiyo limelipuka kipindi hiki na sisi tunaofuatilia Chelsea kwa karibu tulijua tu kwamba Carlo atafika atakwama na hawa madogo ambao ndiyo tegemeo lake. Chelsea Fc lazima wakubali kosa hili na lazima wanunue central defender mmoja na mid mmoja kwenye hii Jan window.

Mkubwa ina maana still hujaona impact ya kumtimua Ray Wilkins?Unasema last season kikosi kilikamilika but still Chelsea alichukua ubingwa kwa tofauti ya point 1 na wachezaji kama Joe Cole & Deco hawakucheza game nyingi sana na mchango wao ulikuwa mdogo sana.Tatizo kubwa ni wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza wamechoka na back up yao imeshindwa kuziba pengo kabisa Benayoun,Ramires,Zhirkov,Kalou,Fereira wameshindwa kabisa
 
duh! Natamani arsenal ifungwe ili nisikie khe kheee kheeeeeeee mwingine! Ila sio vizuri unaweza ua watu kwa presha! Ona sasa thread haina watu. They have gone Invisible.

Chelsea lazima kuna kamgomo ambako hakajatangazwa! Haiwezekani iwe hivi bwana, kuna kitu hapa!
 
@ Belo, Hello mtani

Nakubaliana nawe, kuna impact kubwa sn kuondoka kwa Ray Wilkins; pia kuna matatizo kwa wachezaji kutokuwa na morali, hawana commitment, hawana winning tactics, n.k. Timu ipo ipo tu, pia inaonkena kuna management problems ingawa ni ngumu kiliona moja kwa moja kwa kuwa kuna nidhamu za kiuongozi (ingekuwa timu zetu bongo ngumi nje nje).

Lakini matarajio yetu karibuni tutarejea ktk form, na ushindi utaanza kupatikana.


Ila hata nyinyi bado mnashinda kwa mazabe mazabe, bado siyo Man U ile yenyewe; kwa hiyo bado tunaweza kusema viwango vya timu za premier msimu huu si vya juu sn ukilinganisha na misimu ya nyuma.
 
Swali chelsea wameturn their form around ama wanaifunga timu ya ligi 1 mbayo inagombania kutokushuka daraja?
 
chelsea-splash_1224345a.jpg



Onea Buji ..... ... .....

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee
 
This game was used as a turning point,
watch out on Saturday at home Vs Blackburn.


Resting our off form stars - Essien, Mauloda, and Drogba, we showed our
natural character.


Season is still alive, just to caution you!!! ( Man, Arsenal, City and
Spars)



 
...hawa salama yao wampumzishe Drogba kwa mechi tatu au nne mfululizo, Anelka awe main striker akisaidiana na Sturridge.
Drogba form yake ime dip sana, lakini kwakuwa jamaa (Drogba) ana big ego, wala haoni jinsi aura yake inavyo sambaza losing mentality among the rest
This game was used as a turning point,
watch out on Saturday at home Vs Blackburn.

Resting our off form stars - Essien, Mauloda, and Drogba, we showed our
natural character.

Season is still alive, just to caution you!!! ( Man, Arsenal, City and
Spars)



...so, it wasn't a Rocket science kugundua Drogba ndie aliyekuwa anavunja morale ya wenzako au sio?
Acheni Lote huna la kumuambia kuhusu hilo...

CARLO Ancelotti has hailed 'Dangerous' Daniel Sturridge's goalscoring prowess, but says he must still fight for his Chelsea place.

Pressed on whether he might get the nod over Drogba because of his scoring against the Championship said, Ancelotti said: "Yes, he scored twice. But I think Drogba has scored 130 goals!

"I have to check game by game. I think that they are in competition and I have to chose the best player from the squad when I have to do the line up."

...mkimchezesha tena Drogba, Chelsea Vs Blackburn mtachezea kichapo kingine.

tawny%20owl_300_tcm9-142525_v1.jpg

Salama yenu ni kumchezesha Sturridge tu!
 
This game was used as a turning point,
watch out on Saturday at home Vs Blackburn.

Resting our off form stars - Essien, Mauloda, and Drogba, we showed our
natural character.

Season is still alive, just to caution you!!! ( Man, Arsenal, City and
Spars)



tawny%20owl_300_tcm9-142525_v1.jpg



Whooo who who .......... ....... .... .whooo .. .who ... whoo yupo darajani hapo analia na nyinyi. Haondoki hadi muondoe makuti. Nasikia Mungiki Brother tayari yupo Namanga anasubiri mshinde avuke mpaka, wakati peasant's wanatapatapa hovyo baada ya kimbunga cha Elnino kuwasambaratisha, hivi sasa wamejibanza kwenye kibanda cha Rev Kishoka na Rev Masanilo kwa maombi, wamedanganywa ati watakuwa Invisible wakimaliza maombi.



Khe khe kheeeeeeeeeeeee
 
Vipi hapa nasikia kuna party! Khe khe khe kheeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom