Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

True hiyo picha tuisachi kwa google image tuone ,kuna mkenya mmoja siku za nyuma alijipost hapa anavinjali nchi za wazungu akafuta sura watu wa jf tz tukamsachi tuka mtumia mipicha yake kibao na mitandao anayo tumia wakenya walilia mwezi mzima hiyo ilikuwa pigo mojawapo lililo wafanya wasusie jf mwezi mzima
Ungekuwa na akili ungeangalia link ya picha ungeona tarehe ya picha kupigwa na kuwekwa humu ila kwa sababu hauna akili endelea kusubiri screenshot,
Na ukae ujue kupitia hiyo picha moja kama umepost popote nje ya JF nina uwezo wa kupata nyingi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
True hiyo picha tuisachi kwa google image tuone ,kuna mkenya mmoja siku za nyuma alijipost hapa anavinjali nchi za wazungu akafuta sura watu wa jf tz tukamsachi tuka mtumia mipicha yake kibao na mitandao anayo tumia wakenya walilia mwezi mzima hiyo ilikuwa pigo mojawapo lililo wafanya wasusie jf mwezi mzima

Sent using Jamii Forums mobile app
😂 😂 😂
 
The solution tu wauze then wanunue kwingine, but upperhill and westie ni expensive.
Britam should realize that they do not have monopoly in this sector. Using underhand dealings to counter the progress of their competitors is not healthy at all. I hope Cytton will buy a prime plot In Upperhil or Westlands. This way they'll proceed with the project without much hindrance

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heheheheheeee misumari ya leo ni motroooo now wanajifanya kupotezea eti wanazungumzia mambo yao nasema hivii hili suala la mpunga yn ku make money hakuna mpuuzi yyte EA anaweza shindana na Tz, yn kwa tafsiri nyingine cc ndio wanaume pekee etu apa EA hakuna punga yyte anaweza kushindana na Tz anaebisha asogeze pua yake hapa nimpe dozi akimbie uzi
Screenshot_2020-03-05-13-45-05.jpeg
 
Kwa kweli wakenya mpo mbali kabisa na hatuwezi kuwakuta kabisa,,
Majengo mazuri yote ya kwenye station za reli huku bongo ni kama Majengo ya soko ya kuuzia nyanya, hayana mvuto kabisa, yanajengwa kama ya kizamani,, kweli tunarudi nyuma kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom